makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 886
Kama ni makapi au takataka kwa namna ulivyoeleza mbona CCM haikuwafukuza katika chama chao au sizitaki hizi bichi baada ya jijihada yako kushindwa ?!!
Kama ni makapi au takataka kwa namna ulivyoeleza mbona CCM haikuwafukuza katika chama chao au sizitaki hizi bichi baada ya jijihada yako kushindwa ?!!
Tumia CS (common sense ) huwezi kuuliza swali ukajijibu.
Kawaida mtu unena yaliyomo ndani ya moyo wake, kama nimekwambia umenijibu kwanini unanieleza tena. The mind normally transcends according to the aprior mind of the essence of the object of fabrication reasoning used by the object itself without which the reasoning used as the matter of the issues together with the posteriore principles of viewing panoramic mind can lead to the matter to adapt it's own line,but this depends on the docile of the reasoning tendencies of the object itself hence forth the reality is trully detected transparently and this is direct one.Kwa kuwa ID yako ni mfungwa inawezekana kabisa wewe ni mfungwa KIAKILI yaani Ubongo wako umefungwa.
chadema wanasubiri ccm wamalize uchaguzi ndani ya chama chao ili wachukue makapi(rejects,oil chafu),kuna tetesi wanataka kuchukua Oil chafu ya Monduli ndio iwe mgombea Urais then wanasubiri kura za maoni za ubunge na udiwani ndani ya ccm wachukue rejects(makapi,left overs)