Recent content by Hewa mkaa

  1. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Ezekiel Kamwaga: Cuba mtungi wa gesi unaanzia laki moja na nusu mpaka laki tatu

    Mbona hoja zingine hazijibiwi? Mmzpata kapoint ka gesi mnakakomalia!
  2. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa matapeli wanaotapeli watu huwa hawaogopi karma ?

    Kuna huyu ndiye kakubuhu vya kutosha. Yuko facebook. Anatangaza kuuza pembejeo kwa bei ya kutupa. Ningeomba Wizara ya Kilimo ifatilie. Kaumiza wengi. Mod naomba usiifute.
  3. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz ni mwanahisa mkubwa katika Kampuni iliyotajwa na Tundu Lissu kabla hajakamatwa!

    Hakuna shida kwani Duniani kote, behind every Government, there is a group of rich men
  4. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

    Maaskofu na Mapadre wasishangae wakijikuta wenyewe. Hao hao wajumbe wa Kamati ya Walei, ndo tumewaona Mlimani City wakihamasisha michango ya Ccm
  5. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth Singh katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Uchaguzi Mkuu 2025

    Natamani hizi harambee zingekuwa zinaitishwa kusaidia matatizo ya wananchi. 1. Hebu angalia mgogoro wa jana pale Moshi. Jamaa wanagomewa maiti kisa laki 9. 2. Hebu angalia vifurushi vya bima ya afya. Sky rocketing. Wengi tunashindwa. 3. Angalia barabara ya mtaani kwenu, je ni haki ikawa hivyo...
  6. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Viongozi mbio za Mwenge,msijipe majukumu msiyoyajua!

    Vijana naona wataanza kuikwepa fani ya civil engineering. Kila kiongozi ni mtaalamu wa ujenzi. Poleni wale mlokwisha tumbukia. Nawaonea huruma mainjinia huko kwenye halmashauri. Kama injinia hajaguswa ujue wilaya haina mradi wa ujenzi. Wale mainjinia wa maji waliponea chupuchupu baada ya kuhamia...
  7. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Jidanganyeni tu kuwa eti leo Algeria watapanga Kikosi dhaifu dhidi ya Makonda CCM FC huko AFCON 2019 Misri

    Ili TZ iwe best looser lazima kumfunga Algeria 6-0. YES it is possible
  8. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Kwa Magufuli na Makonda;Mpira siyo Siasa wala maneno baali ni TAALUMA

    "If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."
  9. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Nilipanga kuchukua timu ya jeshi iwe ya Taifa

    "If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."
  10. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuwachongea wabunge, Makonda atamwambia nini Rais atakaporudi kutoka Misri.

    "If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong." Amunike
  11. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Wakuu nini itakuwa mbadala wa mifuko ya plastiki?

    Wana Kagera hawatapata shida
  12. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Kama kuna mtu hawezi kwenda na kasi yangu leteni jina nimtoe

    Kuna kitu kinaitwa "threat motivation"
  13. Hewa mkaa

    JamiiForums Tanzania Watu wanne Mkoani Musoma wamehukumiwa kwenda jera miaka 150 baada ya Kupatikana na kosa la wizi wa kutumia siraha

    Inaweza kuwa ni miaka 15 hukumu 10 concurrent. Na pia usisahau formula ya gereza mfungwa akiingia wanapunguza one third labda akifanya kosa gerezani huwa zinarudishwa kidogo kidogo
Back
Top Bottom