Recent content by HesabuKali

  1. HesabuKali

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    Tangu lini top player kutoka kwenye Club bora ya ligi au bara husika akahitajika na timu ndogo? Hiyo Barcelona ya miaka uliyotaja ina mataji mangapi ya Ligi yao, Ulaya na Club bingwa Dunia? Sasa ulitaka Messi aende wapi na akacheze nini zaidi ya Barcelona? Je Chama na Pacome kwa hapa kwetu...
  2. HesabuKali

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    Pacome alikuwepo?
  3. HesabuKali

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    Yanga 5 Simba 1
  4. HesabuKali

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    Hawa wachezaji wote muhimu kwenye timu zao, Pacome kaisadia timu yake kumfunga Simba 5 Chama akiwa uwanjani na pia kufuzu robo CCL Chama kaisaidia Simba kushinda 6 kwa Jwaneng Pacome hakuwepo na kufuzu robo CCL. Hata timu zao zilipokutana misimu ya nyuma Simba alishinda 2 Dar akaenda kupigwa 3...
  5. HesabuKali

    Hatimaye nimempata!

    Unaruhusu vipi mtu akutongoze miaka 5 wakati upo kwenye ndoa? Hata wewe huna msimamo na unasema kabisa ndoa iyumbe ukampe vya hasira. Ukiona kuna mtu anasubiria heri yoyote ikuondokee ili yeye atimize lengo lake huyo ndio shetani namba moja na umuweke kwenye list ya maadui wakubwa na ukiweza...
  6. HesabuKali

    Hatimaye nimempata!

    Zidisha maombi tu ili mfike huko mnakotaka na.usisitize ndoa mbona hiyo ndio agano. Ukiona hampo tayar kufunga ndoa basi kajiangalie tena kwenye kioo utagundua bado hamjapatana. Ukipata mwanaume ambaye hayupo tayar kwa ndoa hata akupe Bombadier basi ujue wewewe ni kwa ajili ya matumizi ya...
  7. HesabuKali

    Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

    Kwahiyo siku mkija kuambiwa aliyetajwa kumiliki Jumba huko Dubai ni Ndugu Wazir Mohamed Junaid Al Mazrui mfanyabishara wa Magari na vifaa vya ujenzi ambaye pia anamiliki vituo vya mafuta nchi Zambia na Msumbiji mtse,a kumbe wakimaanisha jina na sio cheo.
  8. HesabuKali

    ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

    Nchi ina mazezeta hii basi hata Mungu naamini anatushangaa, Sasa hili gobole sijui linatumia kiungo gani kufikiria? Hebu ona andiko refu lliobeba ojaa kijinga halafu kweli tunawaza kupiga hatua kwa ana ya watu hawa
  9. HesabuKali

    Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

    Rais Samia amekosa uthubutu kabisa, anachoweza kufanya labda afukuze Wateule wake wote kuanzia chini kabisa halafu aanze upya. Hivi kweli Rais serious anaweza vipi kuendelea na kina Mwigulu, Makamba, Nape, Ridhiwani, Mavunde eti Hawa ndio Mawaziri wa mtu anayetaka kuaminiwa kuwa ni mkombozi wa...
  10. HesabuKali

    Naomba connection ya ajira Canada

    Yaani uwe na working permit halafu uje utuulize sisi hapa jinsi ya kupata kazi? Tuambie kwanza hiyo permit uliipataje na lini
  11. HesabuKali

    Tetesi: Ole Sabaya kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam

    Makonda ni Mkuu wa mkoa gani sasa hivi? Usije ukawa unaongelea msemaji wa chama fulani...Kuna Mtaalamu mmoja ashasema mjinga mmoja ni mjinga na wajinga 10 ni wajinga 10 ila wakishavuka kama 1500 ujue hicho ni Chama Cha Siasa, kwahiyo kwa tafsir hiyo hicho Chama kinaweza kumteua mjinga mwenzao...
  12. HesabuKali

    Tetesi: Ole Sabaya kuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam

    Kwamba nchi hii ina viongozi wapuuzi kiasi hicho cha kukosa wa kuiongoza Dar mpaka wamteue Sabaya, labda kama kama unamaanisha Uteuzi wa kiongozi wa genge la wahalifu jijini Dar. Kama Kuna hata jaribio au fikra tu ya namna hiyo ngoja Wazungu watuite uncivilized baboon, maana hata nyani wa...
  13. HesabuKali

    Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

    Ndugu yetu pole sana na pia hongera mno kwakupigania afya ya mke wako. Nimeshuhudia kwa baadhi ya ndugu wakipata shida na hili tatizo na kiukweli hospital hapajawahi kuwaletea ahueni kabisa. Ngoja tujaribu kuuliza vizur wale waliopata ahueni walipitia njia gani ambazo zilikuwa mitishamba zaid.
  14. HesabuKali

    Katika kundi la 260 waliokwenda Israel kama hakukua na waislamu basi kulikuwa na ajenda ya siri

    Kwahiyo mtu anayepigwa tangu mwaka 1948 mpaka leo bado hajakoma? Mmebeba mifuvu tu ya kufugia nywele hata hamtaki kujifunza. Tangu hao watu wavamie hilo eneo mbona hawajashinda hiyo vita na kuwafuta hao kina HAMAS? Rudi hata kwenye mafunzo ya kipaimara utajua vizur haya mengine hujui ndio maana...
  15. HesabuKali

    Katika kundi la 260 waliokwenda Israel kama hakukua na waislamu basi kulikuwa na ajenda ya siri

    Ukitaka kuwa majnun hebu wasikilize watu wa aina yako, Wewe ni zao la wazazi walioshindwa malezi madhara yake ndio wametujazia hizi takataka hapa nchini. Naamini katika mizigo kwenye familia yenu wewe ni miongoni mwao.
Back
Top Bottom