Wewe na wenzako ndio mna matatizo na Mungu ashamjibu mama yenu tayar sema tu mnataka mpaka muone baba yenu akiteseka.
Nyinyi mnaona uovu wa baba yenu kwa Mama halafu mpo tu kimya utadhani mataahira, Mtafutieni baba yenu wahuni mtaani wamvunje mguu mmoja na ikiwezekana wamkate sikio moja bila...
Nimekaa Bursa na Adana kote kuko safi japo, Kwa Izmir, Istanbul na Antalya hiyo miji gharama za kuishi ziko juu kidogo kuanzia nyumba za kuishi, ukumbuke Antalya ni mji wa kitalii kwahiyo ni kama vile Zanzibar kwa gharama za kuishi. Kama unaenda kujitafuta nenda miji mingine kama Mersin...
Sasa kama mteuaji ni back bencher ulidhani atawateua kina nani zaid ya marafiki zake? Mtu una Elimu ya hapa na pale unadhani kuna jipya gani utaleta zaod ya vile vile tu? Huwezi kufeli shule uje kufaulu ukiwa mkubwa kwenye mambo yale yale yanayohitaji akili uliyoikosa shuleni, kinyume chake...
Wa kumlaumu ni mume wake, asichokijua hii inahamia mpaka kwenye familia yake, Sasa ngoja watu wahamishie mambo yao kwa Isihaka ili ajue maana halisi ya kiburi ni nini, Mumewe akiadhibiwa kwa ujinga wake atakaa sawa mbona tunamjua vizur hata baba yake ndio ile pangu pakavu na yeye ndio hivyo tena...
Kosa vyote ila sio akili, hakuna adhabu mbaya kama kukosa akili na hili ndio gonjwa linaloitafuna CCM, yani imejaza kundi la wagonjwa wa akili.
Ona sasa huyu anaamini Wazungu ndio wamefyata kumbe Mama yao kaona isiwe tabu tumalize tu kuzungumza tuwape hiyo migodi yao, kama mngekuwa na uwezo si...
Unaonaje kwanza ukawakumbusha CCM wenzako kwa mara ya kwanza tangu 1995 Rais mteule aliyepata 98% anaapishiwa Jeshini chini ya Ulinzi mkali? Ni kweli 2% ni tishio kuliko 40% ya Magufuli? Na uwakumbushe kwa mara ya kwanza kipenzi cha Watanzania tangu aapishwe Serikali yake imegeuka Kanisa Injili...
Unaishi nchi gani ambayo huwezi kuziona BBC, Al Jazeera na nyinginezo? Au ulidhani wao ni TB? Washaripoti zamani kuanzia jaribio lenyewe na update zake zote mpaka sasa hivi
Wafunge tu kwani wao watapata wapi taarifa? Wakitumia VPN na sisi tutatumia, kama ni simu wanazo tunazo, Ngoja tukomae nao.
Kwanza serikali yenyewe ndio hii ya kina Wanu? Watu wenyewe tulisoma nao tunawajua vizur akili zao, ingekuwa wamejaa wale maguru tunaowajua tungesema tumekwisha ila hawa...
Achana na mambo ya kufukuzia wanawake, focus na mambo yako tu ikitokea kajaa kwenye mfumo mkojolee na sepa zako, Yani mapenzi iwe kama vile unaokota kopo tu na unalipiga teka baada ya dakika. Usipoteze muda kutongoza mwanamke karne hii, akijileta muulize unataka nini na kwa muda gani? Akisema...
Tatizo kubwa la CCM ni matumizi madogo kabisa ya akili, Nyinyi watu mlipata madaraka kwa njia za ulaghai na madhara yake mkaweka watu wenye akili ndogo kuongoza hili taifa, Ona hili taahira badala lifikirie chanzo cha hayo matatizo linarukia kulaumu watu wengine wakati tatizo la msingi...
Kumtetea Samia inahutajika nguvu kubwa ya roho ya shetani, yani ujivue akili kweli, Ila kama ulichukua hata miaka yako 2 ya High School nafsi inakusuta kabisa.
Kila nikijaribu kuamini huenda Samia atakuwa anaongea kama Rais unashindwa kumtofautisha na wale Wamama wa Mtaani aanaosutana kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.