Issue co kuhama kwenda wap......issue ni je maendeleo yatakuja km tukiwapa nafas ya kuongoza.Reality chama tawal kimeshindwa kutimiza matarajio mengi ya watanzania kwa kias kikubwa ndo maana tunahitaji mabadiliko........
muungwana hanuni kwa mashavu hununa moyon kubalin yaliyotokea team lowasa.Kama hamtaki hamen chama hiyo ndo njia pekee ya kuonesha kutokubaliana na yaliyotokea
hamna aliyepinga kuletwa mswada tatizo wabunge wanahitaj muda wa kuusoma na kuuelewa ili watoe michango stahiki na si kuburuzwa tu......kwa jinsi gas ilivyo sensitive kwa uchumi wetu na vizaz vijavyo hamna haraka kias hiki kupitisha mswada huu kwa sababu tukikosea tena yatatukuta yale ya kwenye...
naona wafanyabiashara wa media wana nguvu kuliko wabunge waliochaguliwa na wa.anchi kwa sababu wao waliweza kuzuia mswada wa sheria wa habar na wakasikilizwa ila wabunge wa upinzan imekuwa ngumu cjui kuna kipi kimejificha mpaka nguvu nyng kias hiki itumike kupitisha mswada huu.Hii inafanya...
mmmmh...........kweli watanzania tumerogwa.Leo mtu ambaye alisema ataelezea kilichotokea kwenye richmond na kushindwa kufanya hivyo pale alipopata nafasi eti anautaka urais na ss tunamsupport?hii ni aibu kwetu ss na vizazi vijavyo vitatulaumu na kutulaan kwa kuuza nchi kwa fisadi kama lowasa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.