Recent content by heriedo

  1. H

    Wababa wengi wa Kiafrika mnategea malezi, matola na mnakomaa na single mothers pateni majibu yenu

    Nilitembeleaga familia moja nikakuta watoto wanamuuliza mama yao 'baba atarudi lini?' mwezi mzima hawajamwona, anaondoka nyumban saa 10 asbuh anarudi saa 7 usiku. Muda na watoto hana. Hivi wababa hawanaga siku ya mapumziko wakae na familia zao?
  2. H

    Wababa wengi wa Kiafrika mnategea malezi, matola na mnakomaa na single mothers pateni majibu yenu

    Wababa wengi wa kiafrika ni sperm doner, hawasthil kuitwa baba.
  3. H

    Msaada wa mawazo

    naona hujanielewa. Ni kwamba huyu bint naishi nae, na tangu amejifungua ni mwez wa 6 huyo mwanaume hajampa msaada wowote.
  4. H

    Msaada wa mawazo

    naona hujanielewa. Ni kwamba huyu bint naishi nae, na tangu amejifungua ni mwez wa 6 huyo mwanaume hajampa msaada wowote.
  5. H

    Msaada wa mawazo

    WanaJF msaidieni binti huyu kwa mawazo yenu. Mzazi mwenzake hataki kumtunza mtoto. Waliachana baada ya kutoelewana lakin wakakubaliana kumlea mtoto. Ni mwaka sasa baba hatoi chochote, akipigiwa sm hapokei wala sms hajibu. Nashindwa kumuelewa maana kipato changu ni kidogo mno. Ingekuwa...
  6. H

    Matokeo ya usaili uliofanyika tar 19.01.2013 pale Mwalimu Nyerere memorial academy kigamboni

    saa hizi inafunguka ila hawajaweka matokeo. Labda vuta subira.
  7. H

    Sababu iliyonifanya nihamishe chaneli ya TV

    Dah. Sijacheka tangu asubuh, ila jibu la mtangazaji limeniacha hoi. Wana jf huu si utani ndo ukweli wa mambo. Kizazi cha leo ni wavivu kufikiria.
  8. H

    Utoto bwana!!

    Ya kuoga balaa. Sisi tulikuwa tunaenda bafuni, unanawa miguu mwisho magotini, mikono, kichwani unarashia maji ili mama ajue tumeshaoga. Siku nyingine si mama anashtukia unakaguliwa. Bas anafunua nguo hadi mapajan anakuta kuanzia gotin kwenda juu umechafuka vumbi ukizingtia umetoka kucheza rede...
  9. H

    Utoto bwana!!

    hahahaaa. Wewe na dada yako wote nouma. Kwa hiyo ulibaki uchi barabarani?
  10. H

    Hebu angalia wanyamwezi tunavyo Re-mix maneno/majina ya kiingereza/kiswahili.

    Nawe umechapia. Siyo flyng pen bali ni frying pen. Kwetu ni frampen.
  11. H

    Kweli wabongo majiniazi!!!!!!!

    Yaan 90% ya ulivyovitaja vinanigusa. Sijui hata naviwezaje na kamshahara kangu haka.
Back
Top Bottom