- Thread starter
- #21
Ukitaka kudanganya inabidi uwe na kumbukumbu nzuri!
naona hujanielewa. Ni kwamba huyu bint naishi nae, na tangu amejifungua ni mwez wa 6 huyo mwanaume hajampa msaada wowote.
Ukitaka kudanganya inabidi uwe na kumbukumbu nzuri!
WanaJF msaidieni binti huyu kwa mawazo yenu.
Mzazi mwenzake hataki kumtunza mtoto.
Waliachana baada ya kutoelewana lakin wakakubaliana kumlea mtoto.
Ni mwaka sasa baba hatoi chochote, akipigiwa sm hapokei wala sms hajibu.
Nashindwa kumuelewa maana kipato changu ni kidogo mno.
Ingekuwa wewe ungefanyaje?