Katibu Mkuu - Maji na Waziri Maji, ni karibu mwezi sasa hatuna maji ya uhakika. Mafundi wanadai kuwa mitambo ya maji Wazo ni mibovu na hawajui lini yatapona. Ushauri wanao toa ni kuchimba visima kama unaweza na kuchimbia simtank.
Tatizo siyo wageni kufanya biashara ila ni wafanyabiashara wazawa kutaka kuendelea ku exploit watu with unreasonable and inferior quality products.
Watanzania waliopo China nao wafukuzwe eg Silent Ocean
Wahanga hawana sababu ya kuchangiwa. Mosi ni wafanyabiashara wangetakiwa kuwa na bima kwa ajili ya wafanyakazi na Mali. Pili mwenye jengo anatakiwa kuwa na bima kwa ajili ya tenant's and should give compensation for his wrongdoing. City Father's should have been following what is happening ie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.