Recent content by Heri

  1. H

    KERO Waziri Aweso kama kuna mgao wa maji Dar mtuambie, maji unayojitapa yapo ya kutosha hatuyaoni mtaani

    Kama mitambo ya Ruvu Juu na chini ni mibovu toa taarifa pamoja na ya Wazo. Kama hamuwezi rudisha Wachina. Tuache siasa.
  2. H

    KERO Dawasco Mbezi Kunduchi Bahari Beach hamna maji

    Katibu Mkuu - Maji na Waziri Maji, ni karibu mwezi sasa hatuna maji ya uhakika. Mafundi wanadai kuwa mitambo ya maji Wazo ni mibovu na hawajui lini yatapona. Ushauri wanao toa ni kuchimba visima kama unaweza na kuchimbia simtank.
  3. H

    Maisha Kitendawili: Ni sahihi IGP mstaafu kuwa mkuu wa mkoa, kama ilivyo sasa kwa Sirro?

    Hii siyo mara ya kwanza. Go back to history enzi ya mwalimu . P.N Mgaya. RC Tabora
  4. H

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tangu jana hakuna umeme Kunduchi.
  5. H

    Waziri wa Biashara Selemani Jafo aunda kamati kwa ajili ya kuchunguza utitiri wa wafanyabiashara wa kigeni Kariakoo

    Tatizo siyo wageni kufanya biashara ila ni wafanyabiashara wazawa kutaka kuendelea ku exploit watu with unreasonable and inferior quality products. Watanzania waliopo China nao wafukuzwe eg Silent Ocean
  6. H

    NMB rudisheni huduma ya salary advance

    NMB luku payment system has also failed since yesterday. Call Centre/Customer Care has also gone on Xmas leave
  7. H

    Natafuta music academy kwa hapa dar

    Try Koshuma Training Institute. Google it for more info
  8. H

    Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo

    Wahanga hawana sababu ya kuchangiwa. Mosi ni wafanyabiashara wangetakiwa kuwa na bima kwa ajili ya wafanyakazi na Mali. Pili mwenye jengo anatakiwa kuwa na bima kwa ajili ya tenant's and should give compensation for his wrongdoing. City Father's should have been following what is happening ie...
Back
Top Bottom