Miaka yote tangu Uhuru, Bukoba mjini imeongozwa na CCM kwa maana ya Halmashauri, labda hivi miezi 6. Ile miaka ya 2000-2005 mbunge alikuwa mpinzani, lakini Halmashauri ilibaki CCM! Kwa hiyo CCM stend na mengineyo yote vimewashinda kwa miaka zaidi ya 50! Mapema sana kumpima Lwakatare
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.