Issue ni kwamba unatoa mil 7 kwa mfano, hapo wamekuchanganyia na elfu tano tano, pa kuhesabia ni palepale counter na pembeni anahudumiwa mtu mwingine na wateja wengine wanakukodolea macho. Mimi nilipigwa benki moja kijitonyama sayansi. Yaani anakugeuzia kabisa mashine uone lakini kumbe wakati wa...
Ya kwangu ataipata atakapomaliza suala la wapimaji wa ardhi Mabibo Makuburi wanaotuzungusha mwaka wa nne huu bila hati. Maana mnatoa kauli tu hamfuatilii.
Unakuta dk ana deiwaka hosp 2 za private, akimaliza kazi serikalini anavyoondoka mbio huku akipeperusha koti jeupe ni hatari. Ndiyo maana wengi ni antisocial, hawana muda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.