JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Zuku tv kiboko
Wewe kweli huelewi dstv nini. Huwezi hata cku moja kulinganisha dstv na hawa wapuuzi wengine wa kibongo, wanaochoma mahindi tu. Dstv inakubalika Africa nzima+Ulaya coz huduma na station zao ni world class. Na tena, bei wanazoweka ni cheap sana. $78 unapata chaneli 180+, kutoka kila kona ya...