Recent content by Hepache

  1. H

    JamiiForums Tanzania Kifo cha tajiri wa mabasi ya Super Sami: Mke mdogo asema rafiki wa marehemu huenda anahusika

    Hutulii lkn unakuta vya mme hakuna kugusa chochote.
  2. H

    JamiiForums Tanzania Kifo cha tajiri wa mabasi ya Super Sami: Mke mdogo asema rafiki wa marehemu huenda anahusika

    Ukute mwanaume akubali kukushirikisha anachofanya, unakuta hakuruhusiwa kushika chochote!
  3. H

    JamiiForums Tanzania Soko la dagaa wabichi waliokaangwa linapatikana wapi?

    Mi nahitaji kujua Bei ,nipo Moshi. Ili nifanye biashara.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Hali tete: BOT yashusha viwango vya uwekezaji wa Dhamana & Hati fungani kuanzia Februari 21,2018

    Hujasikiliza taarifa ya habari mwenzetu?
  5. H

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya ACACIA ipo kwenye Mazungumzo na Kampuni ya Kichina ili iwauzie Mali/hisa zake zilizopo Tanzania

    Jamani Mimi sina chama lkn wakati mwingine tusidharau mawazo yanayotoka kwa mtu haijalishi ni wa chama gani. Sasa Tanzania hapa kwetu kwa ACACIA tumepata faida gani? Tungeeunganisha nguvu zetu kwa umoja bila kujali chama na kuangalia mikataba yetu iliyowekwa hapo awali ili tuone kama kuna jinsi...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kupata samaki Kanda ya Ziwa ni kama Almasi, waziri ndivyo tumekuwa tukiishi siku zote?

    Yani Acha huku Kilimanjaro ni majanga. Samaki hatuli tena maana Nyumba ya Mungu imefungwa, ukikutwa na samaki no shida Kubwa. Wananchi wa Hali ya chini tupo matatani. Nadhani serikali ingekuwa inafunga upande mmoja mwingine uachiwe ili wananchi wapate Kitoweo.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Pole rafiki yangu! Nawajulisha na wengine wajipange wasije wakaumbuka

    Hiyo kashfa hakuna ukweli wowote, wivu huo mtoa mada, yani mchaga adandie Lori Dec? Big no.
  8. H

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kinondoni msipomchagua Mtulia mtaendelea kubomolewa nyumba, chagueni CCM mpate maendeleo

    Mungu utusaidie Watanzania tupate macho ya Rohoni !!
  9. H

    JamiiForums Tanzania Ndani ya wodi.. Hospital ya Apollo India

    Jamani nafikiri si vyema kujadili maisha ya mtu ambaye anaumwa na yupo Hosp.
  10. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GAVANA WA NAIROBI ANAOMBA MAONI JINSI YA KUFANYIA OMBA OMBA WA KITANZANIA

    After all, illegal immigrants should be deported
  11. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GAVANA WA NAIROBI ANAOMBA MAONI JINSI YA KUFANYIA OMBA OMBA WA KITANZANIA

    Your ego is now eating the country. Everyone is up there.
  12. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GAVANA WA NAIROBI ANAOMBA MAONI JINSI YA KUFANYIA OMBA OMBA WA KITANZANIA

    No research, no right to right to speak. Even sima flour has been a crisis in your place. What can you dare to be proud of.
  13. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania GAVANA WA NAIROBI ANAOMBA MAONI JINSI YA KUFANYIA OMBA OMBA WA KITANZANIA

    So hapo Mathare na Kibera ni Watz pia? You try guys to be fair, sio kugeneralise mambo tu.
  14. H

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru afariki dunia! Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

    Na nyinyi Wanaume mjitahidi kweli muwe na roho ngumu.!! R.I.P Mzee wetu Kingunge.
Back
Top Bottom