hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
ACHA kabisaaaa tatizo sio Mali ...tatizo ni akili mkuu ""dah, hata mm nmeshangaa, watu wanapenda kuibebesha mzigo serikali. Utajiri aliouacha jamaa mbona unatosha kusomesha na kulea watoto
shangaa wewe waona mtu alikuwa na Mali kibao amekufa na kuziacha lakini mtu analalamika kuwa ameachwa ktika wakati mgumu ...eti anawatoto watatu ambao hajui jinsi ya kuwalea....wakati wana kampuni ya usafirishaji na bado hatujui ana Mali zipi nyinginezo ....