Makonda: Kinondoni msipomchagua Mtulia mtaendelea kubomolewa nyumba, chagueni CCM mpate maendeleo

makondaaaa+picc.jpg



Kwa ufupi
“Nawaomba mumchague ili aungane na mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na mimi mkuu wa mkoa ili tuendelee kuwaletea maendeleo.”


Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametumia mkutano wake na wananchi uliofanyika leo Februari 10, 2018 katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuwapigia debe ‘kiaina’ wagombea ubunge wa CCM majimbo ya Kinondoni na Siha.

Akizungumza katika mkutano huo wa kupokea na kusikiliza malalamiko ya wananchi wa Dar es Salaam, Makonda amewataka wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa ubunge Kinondoni na Siha na katika kata 9 unaofanyika Februari 17, 2018.

“Nasikia wana uchaguzi hivyo wananchi wawachague wagombea wa CCM ili waendelee kupata maendeleo. Kuna kijana anaitwa nani vile… Mtulia ..eeh anaitwa Mtulia. Ameangalia ameona watu wanavunjiwa nyumba zao, ameamua ajiunge na CCM ili wasiendelee kuvunjiwa badala yake wapate nmaendeleo,” amesema.

“Nawaomba mumchague ili aungane na mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na mimi mkuu wa mkoa ili tuendelee kuwaletea maendeleo.
.....
....Tai....uzembe kama huu haupasi kufumbiwa macho
 
Kwa hiy kuvunjiwa nyumba sababu halisi ni kutochaguliwa Mbunge wa chama cha wahuni eh!?

makondaaaa+picc.jpg



Kwa ufupi
“Nawaomba mumchague ili aungane na mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na mimi mkuu wa mkoa ili tuendelee kuwaletea maendeleo.”


Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametumia mkutano wake na wananchi uliofanyika leo Februari 10, 2018 katika ukumbi wa Diamond Jubilee kuwapigia debe ‘kiaina’ wagombea ubunge wa CCM majimbo ya Kinondoni na Siha.

Akizungumza katika mkutano huo wa kupokea na kusikiliza malalamiko ya wananchi wa Dar es Salaam, Makonda amewataka wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa ubunge Kinondoni na Siha na katika kata 9 unaofanyika Februari 17, 2018.

“Nasikia wana uchaguzi hivyo wananchi wawachague wagombea wa CCM ili waendelee kupata maendeleo. Kuna kijana anaitwa nani vile… Mtulia ..eeh anaitwa Mtulia. Ameangalia ameona watu wanavunjiwa nyumba zao, ameamua ajiunge na CCM ili wasiendelee kuvunjiwa badala yake wapate nmaendeleo,” amesema.

“Nawaomba mumchague ili aungane na mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na mimi mkuu wa mkoa ili tuendelee kuwaletea maendeleo.
 
Magu ameishiwa mbinu za kujenga chama kabisa. Serikali inawatumikia wana ccm sasa. Lakini kodi inatoza kwa watanzania wote.
 
Unabomolewa nyumba ka sio CCM. Hili zee tahira na babu yake. Wanaowaunga mkono sijui wana matatizo gani kichwani, wengi masikini wa mali na akili.
 
Ina maana ubomoaji ule wa mkwajuni ulikuwa ni adhabu kwa kuichagua cuf badala ya ccm?
Ni dhahiri kuwa ilikuwa kuwatia adabu kwani kipindi kile yeye alikuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni hivyo anawapa taadhari wasirudie tena makosa yale!
Wamekusikia na huenda wakaamua kurudia tena makosa yale ili nyumba zao zibomolewe zote uweze kujenga viwanja vya michezo eneo hilo au hata yard za kuuzia magari badala ya kigamboni.
Kauli hii itachukuliwaje na waliobomolewa?
 
ground nzuri ya petition mahakamani. Intimidation to voters

6. Whether or not at Runazi, Nyarubungo, Biharamulo town and Rusahunga polling stations votes were intimidated, discouraged misled as well as scared
hence were so many spoilt votes and blank papers to the effect that the elections were not free and fair.

nakumbuka hatta ya igunga magufuli aliahidi daraja wakapigwa mahakamani.
 
Hivi mna habari kuwa watumishi wa umma wakinondoni walifanyiwa promotion,tofauti na watumishi wengine nchini ambao wanasubiria huenda promotion zao zikawa mwishoni mwa mwezi huu??...,
 
Hivi mna habari kuwa watumishi wa umma wakinondoni walifanyiwa promotion,tofauti na watumishi wengine nchini ambao wanasubiria huenda promotion zao zikawa mwishoni mwa mwezi huu??...,
.....
......aisee Salute Mkuu
 
Auz unastaili kufanyiwa tohara ya ubongo Kama kweli unaunga mkono kauli hiyo ya Bashite.
 
Back
Top Bottom