Recent content by henrynho

  1. H

    Nimepata chuo ila mkopo nimekosa, course ni Bsc Education

    Kuwa na Imani coz mungu ndo muweza wa yote.
  2. H

    Tangazo kwa aliyepoteza cheti cha NECTA

    Mm cheti changu kilijikunja kunja na kuwa hakina mwonekano mzuri wakati wa kufanya lamination, je husika hapo kukibadili au?
  3. H

    Leticia Nyerere, John Shibuda (CHADEMA) wajisajili katika Bunge Maalum la Katiba

    Ngoja cc UKACCM tuwasubili, maana ndo wanakuja hivyo.
  4. H

    Regina Mwalekwa wa Clouds FM alamba shavu BBC!

    Hongera sana dada Mwalekwa.
  5. H

    Naweza kupata vyeti vyangu endapo vikipotea?

    Wadau naomba msaada je, kama mtu umepotelewa au kuunguliwa na vyeti vya chuo na kile cha form four, chuo au NECTA ukifatilia unaweza ukapewa vyeti vipya au?
  6. H

    Nani mmiriki wa Ngurudoto?

    Ngurukulwa
  7. H

    Huu ubahili ni kutoka kabila gani Tanzania?

    Lina kuhusu nn? hilo Kabila 'Madau'
  8. H

    Huu ubahili ni kutoka kabila gani Tanzania?

    Huyo jamaa nizaidi ya mpare!
  9. H

    Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

    Kama unaona nakuongopea mwambie huyo mwenye hayo matokeo aende baraza akayabadili kwa viwango vya zamani kama hapati IV 33 ambayo ni kama ziro tu!
  10. H

    Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

    Huyo kwa matokeo ya 2011 kurudi nyuma angepata ziro, haishukulu sana silikali yake ya hawamu ya 4 kwakumpa hizo credit 4!!!
  11. H

    Point za madaraja - Matokeo ya form four yako kisiasa zaidi

    Hii ni bora elimu na co elimu bora!!, nchi inakwenda wapi wadau?
  12. H

    Matokeo ya Uchaguzi wa Udiwani Feb 09, 2014: CCM yaibuka kidedea!

    Lowasa 2015 ndo anakuja kukifuta Kabisa CDM Hilo ni treka tu pic lenyewe analo mmasai wa munduli!
  13. H

    Kweli babu wa CDM anakuwa president wa Tz??

    Babu wa CDM kuwa president ni sawa na ndoto za kulala masikini na kuamia tajiri!!!
  14. H

    Makonda: Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania wala Mwenyekiti wa CCM

    Kwa hiyo ww unaamini kila alichosema Nyerere nisahihi n kama ujawahi kwenda A town nenda kaulize wazee wa kule kuhusu source ya utajiri wa uyo jamaa....ila sasa kwa upande wangu cto kaa niongozwe na yule kibabu wa CDM!
  15. H

    Saada Mkuya Salum ana elimu yenye utata

    Samahani kama ntakuwa nimekuboa " penda sana kujenga hoja ambazo unahuakika nazi na co kwasababu ya wivu, chuki au naww uonekane umetoa hoja....pls tumia hizo MB zako vizuri!!!
Back
Top Bottom