Nani mmiriki wa Ngurudoto?

Nani mmiriki wa Ngurudoto?

Mkuu huyu ni mtu mbaya sana tena ni mnafik na anahusda kali sana tena mtu kama huyu basi huwa si wakujuwana au urafiki ni bora ujetenge nai mbali na hautakuwa na maisha mazuri kwa hiyo hulka ya kibedui
 
Mzee mkapa, mzeee aliyeokoa tanzania kushuka zaidi kiuchumi, mzee mwenye tumbo kuliko maraisi wote hapa tanzania, mzee mwenye vision kubwa kuliko wote ni raisi wa awamu ya tatu, mrema wa impala pale kivuli tu kama alivyo hapo impala
 
Ni meleo awio mrema. Ambae pia ni mmiliki wa naura spring, impala, moshi hotel, impala moshi. Pia anamiliki victoria tower ambapo airtel arusha wamepangisha na kcb bank. Pia anamiliki fiona tower ambayo inaendelea kurekebishwa' akiwa na ubia na nhc. Pia ana ndurumanga farm iko nyuma ya polisi usa river, na amenunua magorofa ya kili tex. Yaliyopo njia ya njiro zaidi ya hapo anamiliki nyumba za kutosha maeneo mengi hapa arusha pia ni mfanya biashara safi sio fisadi... Mungu amuongezee.

E042.png


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom