Recent content by henry mbata

  1. H

    Mhe:Ndalichako hebu litazame hili kwa jicho la pekee

    Aiseeeh!!Aacha tu watakaoweza kumudu ni waleeee wenye cash hands
  2. H

    Msaada: Nahitaji kujua kiwango cha ada kwa vyuo vya Diploma vya Serikali

    Kwa anayejua ada za vyuo vya ualimu wa Secondary kwenye vyuo vya serikali ngazi ya diploma anisaidiae. Tafadhali karibuni
  3. H

    Serikali ipige marufuku watu ambao siyo 'Professional Teachers' kufundisha Private Schools

    Wewe unayejiita professional teacher!shule unayofundisha iliwahi hata kuingia topten za kitaifa au kimkoa?na kama hapana ,uliwahi jiuliza kwanini?Tofautisha kati ya hobby na talent ,walimu wengi kama ninyi mnaojiita professional teachers hamnazo kwenye vyet vyenu.Mliingia kwenye hizo kazi as...
  4. H

    Msaada

    Habarini ndugu wanaJF. kwa anayefahamu gharama za hivi vyuo vya vya clinical officer vya serikali naomba anijuze (Amo Training centre Mbeya,Lindi clinical officer na sumbawanga clinical officer training centre.
  5. H

    MSAADA KUHUSU TRANSFER YA CHUO

    Ni kweli bora amute na sio kureply ujinga.....
  6. H

    Kwa wanaotaka ushauri

    Habari Mlenge .Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka mmoja uliopita kutoka sasa ,nilisoma mchapuo wa sayansi yaani PCB,nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu kimoja hapa nchini ila kozi ya IT degree,ila haikuwa ndoto yangu,kwani ndoto yangu ilikuwa ni udaktari.Niliamua kufanya application ya...
  7. H

    Mafunzo ya urubani

    Aiseeh.inawezekana ndugu
Back
Top Bottom