Wewe unayejiita professional teacher!shule unayofundisha iliwahi hata kuingia topten za kitaifa au kimkoa?na kama hapana ,uliwahi jiuliza kwanini?Tofautisha kati ya hobby na talent ,walimu wengi kama ninyi mnaojiita professional teachers hamnazo kwenye vyet vyenu.Mliingia kwenye hizo kazi as...
Habarini ndugu wanaJF.
kwa anayefahamu gharama za hivi vyuo vya vya clinical officer vya serikali naomba anijuze (Amo Training centre Mbeya,Lindi clinical officer na sumbawanga clinical officer training centre.
Habari Mlenge .Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka mmoja uliopita kutoka sasa ,nilisoma mchapuo wa sayansi yaani PCB,nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu kimoja hapa nchini ila kozi ya IT degree,ila haikuwa ndoto yangu,kwani ndoto yangu ilikuwa ni udaktari.Niliamua kufanya application ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.