JP Magufuri ndie habari ya mjini.
Huyu ndie mwana CCM pekee ambaye watanzania walikuwa wanasubiri kwa hamu atangaze nia.
Watanzania wengi wenye akili timamu ambao hawana price tag tunakuunga mkono baba.
JP Magufuri ndie raisi wetu wa A5.
Maraisi vijana siyo deal kabisa. Timejifunza kwa Nkurunzinza. Wakiingia madarakani wanang,ang,ania kwa kuwa hawana cha kufanya wakimaliza vipindi vyao!
Zitto anataka kutumia kiwango kidogo cha elimu ya wengi wa watanzania kupata anayotaka kwa kusababisha madhara makubwa kwenye taifa letu kupitia hoja mufirisi za ujenzi wa ujamaa.
Ni makosa kuwaaminisha wananchi wa sehemu moja ya Tanzania kwamba umasikini wao umesababishwa na maendeleo ya sehemu...
Kuna vitu viwili ambavyo hufunga ufahamu wa binadamu kabisa. Cha kwanza ni tamaa ya madaraka na cha pili ni tamaa ya mali. Tafakari! Jambo liko obvious mtu anajifanya haelewi. Msimamo wa HP ni kuwa katiba ni mali ya wananchi nahii iliyopendekezwa maoni ya wananchi yaliachwa.
Acha kumtumia Nyerere kupotosha hoja kwa masilahi yako ya kutumikia ukabila ambao umejaza akili yako. Kila mtanzania ana haki ya kuwa raisi wa nchi hii bila kujali anatoka kabila gani ili muradi awe na sifa zinazohitajika. Acha kuleta mambo yako ya ukabila hapa.
Kwa jinsi mind yako ilivyojaa ukabila akili yako inazunguka kwenye ukabila tu. Ujinga wako na wengine wenye mawazo kama wewe unapanda mbegu mbaya ya ukabila katika nchi hii. Muache uhuni huo kabisa.
Pengo kachemka. Mbona serikali na CCM wanazunguka nchi nzima wakitumia rasilimali za umma kuwaambia watu wapige kura ya ndio kwa katiba pendekezwa? Tatizo linaanzia hapo. Pengo halioni hilo? Wao wanapata wapi mamlaka ya kuwaamulia watu?
Tamko la maaskofu ni sahihi. Ni sauti ya kinabii. Pengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.