Recent content by Hemedy rashidy

  1. Hemedy rashidy

    Ukitaka kujua Biashara ngumu fanya biashara na Wahindi

    Naombenii kazii ya shop jamani please [emoji1488] namba zang 0762407301
  2. Hemedy rashidy

    Kila rafiki nayempata anataka vita na mimi

    Marafiki wapo kaka ila ina tegemea na marafiki inshort kama mimi now sina rafiki officially maana nilishapigwa tukio hilo na rafiki zaidii ya ndugu kwao wanani faham pia home wanamfahamu yanii tumeanza urafiki tangu tupo chekechea imagine mpk now kila mtu ana twenty 25
  3. Hemedy rashidy

    Vijana tusing'ang'anie Dar

    Mkoanii labda uwende kwa plan maalum ila usipo enda kwa plan maalum utaganda kama mimi nilivyo ganda nipo mbeya now kwa ba mdog nimekuja kumsalimia lakinii sina inshu yoyote fursa zimekuwa ngumu kinom?
  4. Hemedy rashidy

    Vijana tusing'ang'anie Dar

    Wewe upo uyole sehemu ganii kaka
  5. Hemedy rashidy

    Natafuta kazi, nipo Mbeya

    Shukranii kaka [emoji1488]
  6. Hemedy rashidy

    Natafuta kazi, nipo Mbeya

    Shukranii uncle nitaku check [emoji1488]
  7. Hemedy rashidy

    Natafuta kazi, nipo Mbeya

    Shukranii sana uncle pia viwanda vipo ila mpaka uwe na connection ya mtu hivi hivii kupata chance ngumu
  8. Hemedy rashidy

    Natafuta kazi, nipo Mbeya

    Pwanii ndo home uncle naishiii temeke ila kwa sasa nipo mbeya kwa father mdog nna miezi 2 tu nimekuja kubadilisha mazingila kidogo ila ntarudii mwezii 3
  9. Hemedy rashidy

    Natafuta kazi, nipo Mbeya

    Wakuu, habarini za muda huu na poleni kwa mihangaiko na shughuli mbalimbali. Kwa jina naitwa hemedy umri. wangu 25years kwa sasa nipo mkoani mbeya ila home ni dar nimekuja mdogo wenu nna shida na kazi elimu yangu form 4 Mwenye connection yoyote ya kazii iwe hapa hapa mbeya au dar naomba...
  10. Hemedy rashidy

    Wote wanao chat muda huu wamejawa na upweke

    Nimeiona uncle nimeshaku check
  11. Hemedy rashidy

    Wote wanao chat muda huu wamejawa na upweke

    Nimejarubu uncle lkn naona kana inakataa sijajuwa tatizo nini
  12. Hemedy rashidy

    Wote wanao chat muda huu wamejawa na upweke

    Uncle samahanii naitaji kuja inbox tuongee naitaji msaada wako
  13. Hemedy rashidy

    Dream League Soccer Special Thread

    Nimerudii kibonde wenu
Back
Top Bottom