Marafiki wapo kaka ila ina tegemea na marafiki inshort kama mimi now sina rafiki officially maana nilishapigwa tukio hilo na rafiki zaidii ya ndugu kwao wanani faham pia home wanamfahamu yanii tumeanza urafiki tangu tupo chekechea imagine mpk now kila mtu ana twenty 25
Mkoanii labda uwende kwa plan maalum ila usipo enda kwa plan maalum utaganda kama mimi nilivyo ganda nipo mbeya now kwa ba mdog nimekuja kumsalimia lakinii sina inshu yoyote fursa zimekuwa ngumu kinom?
JAMANIIII NAOMBENII MSAADA WA MCHANGO WA MDOGO WANGU AMELAZWA HOSPITAL MUHIMBILI KWA TATZO LA MOYO SO NAITAJI MCHANGO MWENYE CHCHOTE ANITUMIE KWENYE NAMBA HII SERIOUS SIO JOKES MWENYEZII MUNGU AWA BARIKII 0762407301
Pwanii ndo home uncle naishiii temeke ila kwa sasa nipo mbeya kwa father mdog nna miezi 2 tu nimekuja kubadilisha mazingila kidogo ila ntarudii mwezii 3
Wakuu, habarini za muda huu na poleni kwa mihangaiko na shughuli mbalimbali.
Kwa jina naitwa hemedy umri. wangu 25years
kwa sasa nipo mkoani mbeya ila home ni dar nimekuja mdogo wenu nna shida na kazi elimu yangu form 4
Mwenye connection yoyote ya kazii iwe hapa hapa mbeya au dar naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.