Sawa amna mashindano ya jezi lakini lazima team ivalishwe vizuri ndio maana uwa inawekwa tenda na wabunifu wanapeleka maombi na viongozi wanaangalia sifa
Ingekuwa bora kuvaa tu kusingekuwa na haja ya kutoa tenda anachukuliwa yoyote tu af fresh
Sawa kwenye ubora na uzuri wa jezi tuuache je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.