Habari ya muda huu wakuu.
Mimi ni msichana wa miaka 24, nimeajiriwa katika kampuni ambayo masaa 8 nakuwa kazini na ninaishi dar-es-salaam nina mtaji wa sh million 6 ambayo mpaka sasa sijajua exactly ni biashara gani nifanye ili kuizalisha pesa hiyo na bila kuingilia ratiba yangu ya kazini maana...
Ni kweli maji ni tasteless. Utamu au kutokuwa na utamu wa maji huwa inategemeana na Ph ya maji husika that's why watu tunachagua maji yanayotengenezwa viwandani.
Samahani wakuu mi nina swali, kwa hiyo mtu akisoma diploma ya Clinical Medicine akimaliza anaweza kusoma MD au ni lazima asome BCM?
Na pia kuna ndugu yangu amemaliza form 6 na hajafanikiwa kupata chuo, ameamua kuwa asome tu diploma ya Clinical Medicine, sasa nilisikia kuwa kwasababu kamaliza...
kuna wengine kama mimi zimebadilika kwenye priorities lakini nikiangalia hakuna ujumbe wowote unaosema nimekuwa selected,so it means ndo nimekosa tena chuo au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.