Ilinasa nikiwa na miaka 20 first year second semester,home wakamaind sana wakazira kulipa ada na gharama zingine muhim,Kwa kua mhusika alikua na malengo na mim na pia alikua kashapata ajira nzuri ya kudumu akaenda chap kulipa mahari na kujitambulisha na kuanza rasmi kulipa gharama zote za masomo...
Hata kupata kazi Kwa mabint imekua changamoto sana, boss anakwambia kabisa ukiwa mchepuko wangu nitakupa kazi yenye position na salary nzuri hapa ofisin.
Nakubaliana na wewe,na kama tarehe hua zinafanana bas mzunguko wake sio wa siku 28 bali 30..hivyo hizo siku anazosema anakutana na mumewe sio siku sahihi za kupata ujauzito
Usiache kazi kabla hujapata kazi ndugu yangu.Maisha ya kua jobless ni mabaya na yanatesa usiombe.Fanya majukum yako uliyopangiwa.Ukiacha utakua umewapa hao watu ushindi.Makazini changamoto hua hazikosekani.
Nipo jobless nataman nipate kazi japo ya kutuwezesha kula na familia.KAZI NI MBAYA UKIWA...
Status:job seeker
Education level: Advanced diploma
Proffesional: Accountancy
Experience:seven years
Gender:female
Location:Dar es salaam
Availability:as soon as possible
Mungu na atusaidie..Nimekuelewa sana.Ambae hayajampata hawezi kuelewa.Mwaka huu tumezika wawili kwenye familia moja ndan ya miez sita..chanzo ajali na homa zisizoeleweka.
Kuna mkaka ninamfaham yupo vizuri sana kiuchumi lakini kumpa mkewe japo elf 50 ya matumizi binafsi hampi sembuse kujengea wakwe nyumba...kuna watu ni wabinafsi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.