Habarini wapendwa!
Kuna msichana wa miaka 25, Yupo Dar es Salaam, anatafuta kazi za Supermarket, Bakery Shop, Stationaries, Duka la Nguo/Duka la Vipodozi, Duka la Uwakala wa Miamala, Duka la Vinywaji baridi(Siyo grosary) na Mengineo ya kufanana nazo.
Kama una muitaji wasiliana na mimi kwa DM...