Recent content by HEKIMA itawale

  1. HEKIMA itawale

    NACTVET wabadilishe utaratibu wa utoaji wa matokeo ya wahitimu wa mwaka wa tatu

    1Ninaamini umeona vyema kasoro ambayo NACTVET inaweza kuiboresha kwa kuongeza wepesi wa kuprocess matokeo baada ya mitihani na kuyatoa. Nami ninaamini kabisa NACTVET ikiamua kurekebisha hili itaweza kabisa na huu mjadala utakuwa umefungwa ;
  2. HEKIMA itawale

    NACTVET wabadilishe utaratibu wa utoaji wa matokeo ya wahitimu wa mwaka wa tatu

    1) Jamani hamna haja ya kutukanana 2) Nia hapa ni njema kwa kila mmoja 3) La muhimu hapa ni kuangalia ni jinsi gani usahihishaji wa karatasi za Theory za Mwaka wa tatu unapewa priority na matokeo yake kuwahi admission cycle ya vyuo vikuu bila kuharibu quality ya usahihishaji nk 4) Hii ni...
  3. HEKIMA itawale

    Kujiendeleza kwa kusoma MD mwakani

    Hapana hawajakosea hii inaitwa competence based. Ukimaliza NTA LEVEL 5 ni level ya ku-exit na NTA Level 6 ni different level na unaweza kuja kuisoma muda wowote baada ya level 6. Hivyo level 6 it is treated differently.
  4. HEKIMA itawale

    NACTVET wabadilishe utaratibu wa utoaji wa matokeo ya wahitimu wa mwaka wa tatu

    Ni muhimu sana matokeo ya mwaka wa tatu kutoka mapema na kidhinishwa mapema ili wanafunzi wapate fursa ya kuendelea na vyuo vikuu kwa wale wenye nia ya kufanyahivyo
  5. HEKIMA itawale

    NACTVET wabadilishe utaratibu wa utoaji wa matokeo ya wahitimu wa mwaka wa tatu

    1).Hii kwakweli ina umuhimu wa kufanyiwa kazi kwa mapendekezo haya mazuri. 2) Tunaomba matokeo ya wanafunzi wa diploma yatoke mapema na baraza la NACTVET nalo ikae mapema kuyaidhinisha. 3)Kama nia ipo yote yanawezekana 4)Tunashukuru mkiangalia ombi hili la wadau
  6. HEKIMA itawale

    Mtu aliyesoma AMO anaweza kusoma masters zipi?

    Itakuwa ni vyema maana watakuwa wameongeza a higher level na kuweza kufanya more procedures na kusaidia jamii
  7. HEKIMA itawale

    Mtu aliyesoma AMO anaweza kusoma masters zipi?

    Nchi yetu hata ukiwa na vigezo vya kusoma MD nafasi ni chache , hakuna vyuo vya kutosha kama ilivyo kozi nyingine na hivyo wengine inabidi wapitie njia hizo. Ndio maana Sudan iliingia kwenye vita na Malawi kuna bachelors in specific areas anakuwa AMO with Bachelor ( 3 years Anaesthesia, Surgey...
  8. HEKIMA itawale

    Mtu aliyesoma AMO anaweza kusoma masters zipi?

    Mtu Mwenye Bachelor ya Clinical Medicine still anaweza kuwa na progression pathway in different health related fellowships or research fellowships etc kila jambo lina mlango wa kutokea
  9. HEKIMA itawale

    Mtu aliyesoma AMO anaweza kusoma masters zipi?

    1) Malawi clinical officer anasoma moja ya hizi bachelors KUHeS - Undergraduate programmes 2) Anakuwa still AMO ingawaje ni rahisi kupata progression pathway kwa kufanya a fellowship in one of the related areas or a Masters of science 3) Hili ni jambo la kuigwa na vyuo vyetu vikuu Tanzania
  10. HEKIMA itawale

    Mtu aliyesoma AMO anaweza kusoma masters zipi?

    Unaweza tafuta fellowship in certain area
  11. HEKIMA itawale

    Miongozo dhaifu imeathiri udahili wa wanafunzi kutoka nchi za nje kusoma Vyuo Vikuu vya Tanzania

    Wataalam na wadau wa elimu ya juu wamewaomba viongozi wa serikali kuanzisha utaratibu maalum utakaoviruhusu vyuo vikuu nchini kuwapokea wanafunzi kutoka nchi za nje kusoma kozi ya shahada Tanzania. Kwa sasa ni wanafunzi wenye alama za ufaulu sawa na elimu ya sekondari ya juu (Kidato cha Sita)...
  12. HEKIMA itawale

    Inawezekana kusoma MD kwa GPA chini ya 3 kutoka Diploma?

    INAWEZEKANA KABISA KWA MAELEZO ZAIDI INGIA KWENYE WEBSITE YYA TCU NNA UPAKUWE ADMISSION GUIDE BOOK
  13. HEKIMA itawale

    Waziri Doroth Gwajima, Wazazi na Wanafunzi tunasubiri ahadi yako kuhusu hatma ya waliovujisha mitihani ya utabibu

    Kuchukuwa hatua ni jambo moja ila hatima ya wanafunzi itakuaje? Je watapoteza muhula mzima nyumbani? Hill linatakiwa kutatuliwa kwa haraka vijana wasipoteze muda
  14. HEKIMA itawale

    NACTE na maamuzi ya utata kuhusu mitihani ya marudio kwa wanafunzi wa vyuo vya kati: Je, Waziri wa elimu anafahamu kilio hiki?

    Kwakweli it's so painful kirudia mwaka mzima eti kwa ajili ya supplementary nanaamini utatuzi wa haraka utachukuliwa
Back
Top Bottom