Mtu aliyesoma AMO anaweza kusoma masters zipi?

Mtu aliyesoma AMO anaweza kusoma masters zipi?

Nchi yetu hata ukiwa na vigezo vya kusoma MD nafasi ni chache , hakuna vyuo vya kutosha kama ilivyo kozi nyingine na hivyo wengine inabidi wapitie njia hizo. Ndio maana Sudan iliingia kwenye vita na Malawi kuna bachelors in specific areas anakuwa AMO with Bachelor ( 3 years Anaesthesia, Surgey etc ) baada ya Diploma Clinical Medicine Nchi ya CUBA lipo jambo pia la kujifunza katika hili.Kuna umuhimu wa kufikiri zaidi watoto wengi wanakuwa so fustared kukosa MD baada ya kufaulu vyema kwenye PCB.
 
Hivi tetesi za kurudi kwa kozi ya AMO ni kweli???
 
Itakuwa ni vyema maana watakuwa wameongeza a higher level na kuweza kufanya more procedures na kusaidia jamii
 
Sasa mbona dirisha la maombi hakijafunguliwa kwa AMO na mwaka wa masomo umeanza....au wana utaratibu wao??
Kama ukiweza wacheck watakupa ushaur na cha kufanya si unajua Ifakara ni Private...
Screenshot_20231004-193817.png


Screenshot_20231004-193744.png
 
Lakin mm binafsi nikiwasikia na nao juzi walichokisema hasa sasa hawajapata Kibali cha udahili AMO .
Japo tayari wamepeleka maombi ya kuanza kutoa hiyo program na hawajajibiwa na mamlaka husika ivo hawana uhakika kama mwaka huu watadahili ama kaa.
 
Lakin mm binafsi nikiwasikia na nao juzi walichokisema hasa sasa hawajapata Kibali cha udahili AMO .
Japo tayari wamepeleka maombi ya kuanza kutoa hiyo program na hawajajibiwa na mamlaka husika ivo hawana uhakika kama mwaka huu watadahili ama kaa.
Exactly.....ndiyo majibu yao..

Pia nikiwauliza NACTE kwenye email yao wakanijibu kuwa hakuna hio course...

Ko tuendelee kusubiri...
 
Pia niliwasiliana na na mkurugenzi wa NACTE nilipomuuliza uwepo wa programu ya AMO akaniambia haipo na nilipojaribu kutaka kujua kama kuna utaratibu wowote wa kuanza kutolewa alichonijibu ni kwamba kwa sasa hakuna kozi hiyo.
Na akaongeza kusema ikirudishwa umma utaarifiwa .
 
Elimu za kuungaunga mwanzo mnafurahi sana kupata kazi mapema. Baadaye mnaanza kutapatapa.
Usikariri.. kwamba Advanced ni lazima .. Advance ni kupoteza muda tu ! I wish ningekuwa na hizo akili .. lakini nilikariri kama wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom