Recent content by Heker

  1. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwenza wa maisha

    Nitasema siku nyingine
  2. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwenza wa maisha

    Nimenyea kisimani mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
  3. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwenza wa maisha

    Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 38. Naandika kutafuta mwenza wa maisha wa jinsia ya kike. Sifa zangu Miaka 38 Muajiriwa Mkristo Msukuma. Sifa za mwanamke nimtakae. Umri 27-40 Mkristo, Kama siyo awe tayari kubadili dini. Mwenye shughuli ya kumuingizia kipato. Kabila lolote kasoro watu wa...
  4. Heker

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

    Na waislam wakikalilishwa aya mbili tatu tu wanakuwa waganga wa kienyeji yaani mawakala halisi wa ibilisi
  5. Heker

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

    Mm najua allah ni kava la kisu hayo mengine utajua wewe na mpotoshaji mwenzio mudi madem
  6. Heker

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

    Mwisho wa siku utakuja na hoja ya alitumia lugha gani na chakula gani? Hahahaha! Kwa Bwana Yesu Kristo aliyesulubishwa, akafa, akazikwa, siku ya tatu akafufuka , akapaa mbinguni kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri hata kwa kuchelewa.
  7. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

    Yaani wewe mpumbavu kweli mali zimekupofusha ufahamu.
  8. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ex wangu anatoka na brother yangu

    Pole, tafuta kimvuli upumzike , inaonekana wakati unaandika ulikuwa juani, kisha tafuta glass ya maji baridi kunywa .
  9. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

    Huyu dada akija tu utasikia harufu ya pafyum ya kuluthumu
  10. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

    Kinacho watia kiburi ni mfumo wa ndoa wakutokuachika. Wakiisilam anajua akizubaa kidogo tu either taraka au mke mwenza .
  11. Heker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta dawa ya kunifanya nimuache huyu mwanamke wangu

    Chukua mkojo wako nusu lita na mkojo wake lita 3 halafu changanya kisha kunywa nusu kikombe mara nne kwa siku, fanya hivyo kwa siku kumi. Kumbuka wakati unatumia dawa hairuhusiwi kupiga mswaki kipindi chote. Na ni lazima ulale nae kipindi chote cha dawa. Utanishukuru.
  12. Heker

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya brand bora ya magodoro 5x6

    Ni QFL
  13. Heker

    JamiiForums Tanzania Yanga kuelekea msimu mpya

    Unaumia ukiwa wapi ? Ujuaji mwingi kumbe kichwani box tupu
  14. Heker

    JamiiForums Tanzania Dodoma jiji Fc to Wattford fc, Wattford fc to Yanga sc hii apa

    Kwahiyo usemaje?
  15. Heker

    JamiiForums Tanzania Ntibanzokinza: Yanga ni klabu ya kienyeji

    Wewe hapa unazungumzia ya Simba? Au hujui unachokisema? Ukiitwa mbumbumbu unaandamana
Back
Top Bottom