Recent content by hegel

  1. H

    Kubenea uko wapi, rais anakutafuta kwenye Uzinduzi wa Hostel Chuo Kikuu

    Umenena vyema kabisa, anajua kuandika Sana kuliko kuongea na kutenda
  2. H

    Kubenea uko wapi, rais anakutafuta kwenye Uzinduzi wa Hostel Chuo Kikuu

    KUBENEA UPO WAPI RAISI ANAKUTAFUTA Leo Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwepo jimbo la Ubungo katika uzinduzi wa hostel mpya za chuo hicho. Kabla ya kuhutubua alimtaka mbunge wa eneo husika kupanda Jukwaani kusalimia. Cha kushangaza mbunge huyo hakuwepo eneo hilo. Najua...
  3. H

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu(Bunge) - Uledi Abbas Mussa

    Huyu Uledi kipindi cha JK alikuwa Katibu mkuu Wizara ya viwanda na biashara Nahisi madudu yake yamedukuliwa ndo yamemponza Leo
  4. H

    Tusiruhusu kitendo cha yule mama aliyevamia mkutano wa Rais Magufuli

    Hamna Idara makini kama usalama wa taifa, wako makini kuliko unavyofikiria wana hisia ya Sita! Hilo la rais kudhuriwa Sahau kabisa!!!
  5. H

    Moyo sukuma damu.. RIP Bro

    Ana mwandiko mbovu Sana!
  6. H

    UKAWA na ACT Wazalendo kwanini mlisusa na sasa mwala?

    Hili swali sio rahisi kujibiwa kwa hoja! Hapa yatakuja matusi, ngonjera na mipasho
  7. H

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    Unatetea ushoga??? [emoji15] [emoji15] [emoji15]
  8. H

    Rais Magufuli: Vyama vingine wakitaka kufanya vikao hapa Ikulu waombe!

    Naona mwelekeo wa Tanzania Mpya sasa!
  9. H

    Chuki tuliyo nayo kwa Taifa letu ni kubwa kuliko tuliyo nayo dhidi ya Shetani

    Ni kweli kabisa, UZALENDO kwa sasa Umebaki kwenye maandishi vijana wanaamini vyama vyao ni muhimu sana kuliko nchi yao!
  10. H

    GPA hazifai kutumika ktk kuajiri wahadhiri na wahadhiri wasaidizi

    Unaweza ukawa sahihi ila usiwe sahihi
Back
Top Bottom