Habari zenu waungwana!
Mwezi wa saba hawa jamaa wa utumishi walichukua dodoso kwa baadhi ya wanafunzi wachache wa mwaka wa mwisho wenye ufaulu mzuri pale IFM. ambapo walipigiwa simu kwenda kujaza hizo dodoso na baadhi yao walishafuatiliwa taarifa zao kwa wadhamini waliowajaza ktk hzo dodoso...
Habari zenu wakuu.
Ninafanya kautafiti fulani kanakohususu matumizi ya mitandao ya kijamii na distribution ya watumiaji nchini.
Ningependa wewe utakaefungua huu uzi uniambie mahala unapopatikana Tanzania hii. Nikianza na mimi mwenyewe napatikana Wilaya mpya Kagamboni mkoani Dar es salaam...
Habari zenu wakuu.
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka, ninae class mate wa mimi aliolewa mwaka 2009 kwa ndoa ya kikristo(katoliki), ndoa yake ilidumu kwa muda wa miaka miwili tu akatengana na mume wake chanzo kikiwa ni umalaya uliopitiliza wa huyo mume wake kwani alidiriki kutembea hadi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.