Haupaswi kujenga au kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mpangaji mwenzako au mwanamke au mwanaume unayefanya nae kazi sehemu Moja kwa sababu mapenzi siku yakiisha Yana kuwa uadui.
Kila kitu kifanyike kwa kiasi. Kama unampenda, basi mpende kwa kiasi. Binti haujamuoa anakupasua kichwa, piga chini. Kwa jinsi inavyoonekana ana mthamini sana huyo jamaa kuliko wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.