Recent content by HAZOLE MSALEGE

  1. H

    Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

    Vipi umetoa masaa mangapi kwa Kinana kuhusu swala la kingwangala na FILIKUNJOMBE? Kingwangala na MAKINDA? Hao wako makini sana. tulia kijana.
  2. H

    Akili Ndogo Kushindana na Akili Kubwa: Ona CV ya Mbunge Lema na CV ya Zitto!!

    Vipi yule mbunge wa darasa la pili wa kule Njombe( Makambako), vipi LUKUVI? HA ha ha , tulia mzee. vipi ushabikie mpinzani wako. we all live downstream.
  3. H

    Godbless Lema, Shujaa Mahiri Anayekiuka Kanuni za Chama

    LEMA ni dhaifu sana, nimeanza kuamini kuwa shule ni ndogo, hopeless. Lema utaporomoka kisiasa kama wale vijana mliowaita wasaliti.
  4. H

    Godbless Lema, Shujaa Mahiri Anayekiuka Kanuni za Chama

    Hayo wala sio mambo ya chama, ni kama Komba na Membe tu. lakini Lema ameonyesha udhaifu sana. majuzi Mwigamba alisema Lema ni bogoz, sasa tumeanza kuamini.
  5. H

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    Hayo ni mambo yao binafsi, sio mambo ya Chadema, wala Lema sio msemaje wa Chadema, ni kama Hamisi Kingwangwala anavyotafuta umaarufu wa kumng'oa spika, utasema ni CCM. Hao watakuwa wamenyang'anyana Demu. Lakini ukimgundua mtu mapungufu yake , ni vizuri kukaa kimya. Tunaanza kuwafahamu yupi feki...
  6. H

    Wassira: Hoja za kukataa muswada zipelekwe kwa Rais (wapinzani waache kupayuka)

    Nakumbuka maneno ya Mzee wasira mwaka 1995 baada ya CCM kumtosa kugombea Ubunge, alisema haya. CCM INAUMWA UGONJWA USIOTIBIKA" UKIMWI), SITAWEZA KURUDI CCM TENA. wananchi wakamwani wakampa ubunge. ubunge ukatenguliwa kwa vile ilithibitishwa na Mahakama alitoa rushwa, akafungiwa 5 years bila...
  7. H

    SUGU mahakamani leo tar.11/9/2013 DODOMA

    Vipi ile kesi ya Rage ya kumpiga kijana wa CDM imefikia wapi? Pia vipi ile kesi ya yule mbunge wa kule Dodoma ya kuomba kupokea rushwa nayo imefikia wapi? ama upelelezi haujakamilika? Ngoja tuone , yetu macho.
  8. H

    Kwanini mikutano ya CCM wanajaa watoto wadogo?

    Mkuu pia watoto huwa wanafuata ubwabwa, umesahau pale Morogoro. muulize Kinana, bila ubwabwa hakuna kitu, watu wamechapika balaa. maisha bora kwa kila mtanzania.
  9. H

    NYARAKA: Nani muongo kati ya Msigwa na Kagasheki?

    Kwa akili yako ilivyo fupi unafikiri kuna dawati lilmenunuliwa hapo. hivi huwajui wabongo eeeh. hizo wamegawana Kagasheki na huyo Mama. HAKUNA DAWATI. Eti 55,000 desks!
  10. H

    CCM kikaangoni...

    Wabunge wa CCM igeni mfano wa Madiwani wa Bukoba, CCM ilipofikia haiwezi kumfukuza Mbunge wala Diwani, hivyo acheni hofu. Kwa mwendo wa CDM, chama cha machafuko(ccm) hakitadhubutu kumfukuza diwani wala mbunge. Pigeni kazi ya kufichua ufisadi.
  11. H

    Kamati Kuu yamzuia Kagasheki na Meya, Anatory Amani kushiriki katika siasa Kagera hadi 2015

    Hayo ni miongoni mwa matamko dhaifuuuu ya CCM, Kwani siasa lazima ufanye ukiwa CCM? Hajui kutakuwa na mgombea binafsi. Nape tuambie madiwani mmedhibitisha kuwa wamefukuzwa? mbona unaleta rojorojo za siasa.
  12. H

    CHADEMA ni vibaraka - Nape

    vipi muulize Nape atakuja na zile barua za kukata rufaa za wale madiwani wa Bukoba kwenye kikao kesho.
  13. H

    Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

    Waende kufanya nini? mnataka kuwafanya nini huko, mkawamwagie tindikali? ama mkawape sumu? wewe hujui Zanzibar ni nchi, mnajikomba bure.
  14. H

    CHADEMA ni vibaraka - Nape

    Vipi lile swala la madiwani kule Bukoba? Nape utawasilisha zile barua walizowasilsha kwako za kukata rufaa? nina wasiwasi kesho utakanusha kwamba hujasema Chadema Wahuni. umemnukuu Warioba wakati ulisema ni mzee anasubiri kufa. wanaosubiri kufa nao wana mawazo mazuri? Hivi Warioba alisemaje...
  15. H

    Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

    USHAURI WA BURE. Mr Mwampamba rudi nyumbani kule Mbozi kasaidie kufundisha pale Mlowo ama kule Iyula. CCM hawatakupatia nafasi ya kugombea ubunge kama unavyofikiria, please mdogo wangu , tafuta kazi utulie, siasa waachie wajanja. Wote sisi ni wafuasi wa vyama mbalimbali lakini tuna kazi zetu...
Back
Top Bottom