Habari zenu wadau, mimi ni mkazi wa Dar, nahitaji shule ya advance iliyo mkoani tofauti na Dar yenye unafuu wa gharama. shule iwe ya bweni (boys) au (mchanganyiko). Combination ni HGL.
Nitashukuru sana, kama nitapewa na mawasiliano.
Ahsante.
Nina dada yangu ameresit mtihani wa kidato cha nne mwaka jana. Amepata DIVISION IV 26 akiwa na C mbili, D tano na F moja. Anahitaji kusoma UWALIMU wa primary. Je, anaweza akajiunga chuo cha serikali?, kama anaweza ni jinsi gani ya kujiunga huko. Lakini pia kama hawataruhusu serikalini, je...
Naombeni msaada kwenye hili jamani...
Kwa vile GPA imeshafutwa, he matokeo ya kidato cha nne yanayotarajia kutolewa hivi punde watatumia mfumo gani, Division au GPA ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.