Wanawake warefu sana havutii kabisa hata uwe na tako km beseni bado unaonekana kawaida hushtui kabisa
Mna hulka ya dharau ndo maana hampati waume kirahisi au mahusiano yenu hayadumu mnaishia kutumiwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kupaka japo muda umeshapita sana we nae uache ubishi
Pakaa hapo alipokung'ata yaani sumu ilipopitia
Ungemsikiliza huyo jamaa saiv ungeshapata nafuu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa ikikupa nafuu leta mrejesho hapa ni dawa iliyowahi msaidia mlezi wangu wa karibu miaka km 12 iliyopita
Aling'atwa na ng'e, tulihangaika kwa masaa km manne mwanzo alidharau tukasema ni kawaida maumivu yatapoa
Lakini maumivu yalizidi kuliko kawaida tulimuwekea mawe yote ya ng'e na nyoka...
Hapo alipokung'ata pachanje kwa kutumia wembe tafuta nyanya iliyoiva ikate udondoshee maji yake itakusaidia kupunguza maumivu na sumu isisambae sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwa waafrika zidisha hizo dakika mara tatu mpaka nne siku nyingine lakini zisipungue dk 30 kwa round moja
Fanyeni mazoezi kuleni vizuri zama hizi nguvu za kiume ni dhoruba barani Africa msitake kujilinganisha na wazungu mbona babu zenu walikuwa wanakimbiwa na wake zao
Siku hizi imekuwa...
Raha ya mwanaume apende mwenyewe bana
Sijawahi kujitanguliza kimbelembele kumpenda mwanaume
wananipenda wenyewe nami nafuatia kuwapenda wapo waliotongoza miaka zaidi ya 5 akapewa mara moja na mpaka leo mwaka wa 3 anabembeleza na mizinga anapigwa fresh tu
Siuzi nakopesha
Kwa muhtasari tu unakutana na unaofanana nao visichana
wanawake tuko makini sana tunakupotezea hata miezi 6 then unapewa tamu kali halafu unapigwa mzinga mzito miezi mitatu baadae na wengi hamchomoki
Muhimu tu ni uvumilivu akili na kutoendekeza njaa pesa zenu sie ndo watumiaji tatizo...
Wengi watoto humu kushea ni lazima sio hiari kwani akiloweka kwenye k ingine inaishilia?
Akaloweke tu mradi akija kwangu anipe shughuli nzito sio kunipapasa
Wanawake wengi humu mna mapenzi ya kisekondari bado hamjakua kabisa na mtalia sana tangu lini mwanadamu akawa malaika!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.