AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,519
Muda muafaka unaotakiwa kwa mwanamke kufika kileleni ni miongoni mwa mambo yanayoumiza vichwa vya wanaume. Wengi wao wanajiuliza kuhusu muda wa kawaida ambao wanatakiwa kuutumia ili kuwafanya wake zao wafike kileleni.
Licha ya maendeleo ya kisayansi na uwepo wa tafiti nyingi za kitaalamu kuhusu suala hili lenye kuwatia wasiwasi wanaume, imebainika kuwa kila bara duniani linatofautiana na bara nyingine kuhusu muda muafaka ambao wanawake wanahitaji ili kufika kileleni wakati wanapofanya tendo la ndoa na waume zao.
Katika ripoti ifuatayo, utaweza kufahamu wastani wa muda ambao ulioneshwa na matokeo ya wataalamu waliofanya utafiti wa jambo hilo katika mabara mbalimbali ulimwenguni.
5. ASIA
Katika bara la Asia muda muafaka wa wanawake kufikia mshindo wa kilele ni dakika 2 – 5 kwa mujibu wa matokeo ya utafiti uliofanywa katika mataifa ya Japan, China, Korea ya Kusini na Thailand.
4. AUSTRALIA
Kuanzia dakika 5 mpaka 7 ndio kiwango cha wastani ambacho wanawake wanakihitaji katika bara la Australia ili kufika kileleni.
3. ULAYA
Hakuna tofauti kubwa kati ya wanawake wa Ulaya na wenzao wa Australia, ambapo ongezeko ni dakika moja tu. Wao wanahitaji wastani wa dakika 5 mpaka 8.
2. AMERIKA
Bara la Amerika hapa tunakusudia Amerika ya Kusini na Kaskazini kwa pamoja ikiwa ni pamoja na nchi za Caribbean kama vile Jamaica, Panama na nyingine. Wanawake wa Amerika ya Kaskazini wanahitaji dakika 7-10 wakati wale wa Amerika ya Kusini wakihitaji dakika 9- 11 kufika kileleni.
1. AFRIKA
Kwa mujibu wa wataalamu, wanawake barani Afrika wanahitaji dakika 15 ili kufika kileleni, tofauti na wanawake wa mabara mengine.
Wataalamu hao wanasema kuwa hali ya hewa na mazingira vina athari kubwa katika kuwafanya watu kufikia umri wa baleghe na uwezo wa kitandani kwa wanaume na wanawake. Inaelezwa kuwa vijana katika bara la Afrika hufikia kiwango cha baleghe katika umri mdogo ikilinganishwa na mabara na nchi nyingine duniani.
#NdoaMaridhawa #KabugaKanyegeri #FamasiaYaNdoa
HEBU WANAWAKE MLIOMO HUMU HEBU TUJUZENI HOW LONG EXACTLY UNACHUKUA KUFIKA KILELENI UKIWA UNAGEGEDWA...?
Licha ya maendeleo ya kisayansi na uwepo wa tafiti nyingi za kitaalamu kuhusu suala hili lenye kuwatia wasiwasi wanaume, imebainika kuwa kila bara duniani linatofautiana na bara nyingine kuhusu muda muafaka ambao wanawake wanahitaji ili kufika kileleni wakati wanapofanya tendo la ndoa na waume zao.
Katika ripoti ifuatayo, utaweza kufahamu wastani wa muda ambao ulioneshwa na matokeo ya wataalamu waliofanya utafiti wa jambo hilo katika mabara mbalimbali ulimwenguni.
5. ASIA
Katika bara la Asia muda muafaka wa wanawake kufikia mshindo wa kilele ni dakika 2 – 5 kwa mujibu wa matokeo ya utafiti uliofanywa katika mataifa ya Japan, China, Korea ya Kusini na Thailand.
4. AUSTRALIA
Kuanzia dakika 5 mpaka 7 ndio kiwango cha wastani ambacho wanawake wanakihitaji katika bara la Australia ili kufika kileleni.
3. ULAYA
Hakuna tofauti kubwa kati ya wanawake wa Ulaya na wenzao wa Australia, ambapo ongezeko ni dakika moja tu. Wao wanahitaji wastani wa dakika 5 mpaka 8.
2. AMERIKA
Bara la Amerika hapa tunakusudia Amerika ya Kusini na Kaskazini kwa pamoja ikiwa ni pamoja na nchi za Caribbean kama vile Jamaica, Panama na nyingine. Wanawake wa Amerika ya Kaskazini wanahitaji dakika 7-10 wakati wale wa Amerika ya Kusini wakihitaji dakika 9- 11 kufika kileleni.
1. AFRIKA
Kwa mujibu wa wataalamu, wanawake barani Afrika wanahitaji dakika 15 ili kufika kileleni, tofauti na wanawake wa mabara mengine.
Wataalamu hao wanasema kuwa hali ya hewa na mazingira vina athari kubwa katika kuwafanya watu kufikia umri wa baleghe na uwezo wa kitandani kwa wanaume na wanawake. Inaelezwa kuwa vijana katika bara la Afrika hufikia kiwango cha baleghe katika umri mdogo ikilinganishwa na mabara na nchi nyingine duniani.
#NdoaMaridhawa #KabugaKanyegeri #FamasiaYaNdoa
HEBU WANAWAKE MLIOMO HUMU HEBU TUJUZENI HOW LONG EXACTLY UNACHUKUA KUFIKA KILELENI UKIWA UNAGEGEDWA...?