Recent content by Haxxan Jr

  1. Haxxan Jr

    Rais Samia: Kesi ikishatupwa na Tume ya Utumishi wa Umma isiletwe kwangu

    wananchi wengi hawako tayari kuona ccm inatoka madarakani ...it's ok tuwe na wabunge wapinzani lkn sio CCM kutoka madarakani ....tunaitkadi kwamba CCM ndio chama pekee cha kuweza kusimamia muungano na vile vile ni chama kinachoonekana hakina udini ktk macho ya watu km vyama vingine...
  2. Haxxan Jr

    Prof. Tibaijuka: Chato haina sifa kuwa Mkoa

    KUHUSU PROF. TIBAIJUKA NA MKOA MPYA WA CHATO. Prof Anna Kajumulo Tibaijuka hawez kupenda uwepo wa mkoa mpya wa Chato. Baadhi ya kata za Muleba zinazomegwa na kuingia mkoa mpya wa Chato ni sehemu ya nyumbani kwake. Asingependa awe wa Chato bali wa Kagera/Bukoba[emoji851]. Jambo hili linamuuma...
  3. Haxxan Jr

    Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

    unaweza kuwa na wazo zuri lkn unakosa busara ya kuliwasilisha ....toa maoni yako vizuri na ktk kuwasilisha kwako usijaribu kuonesha ww ndio upo sahihi sana na wengine ni hovyo #BUSARATAFADHALI
  4. Haxxan Jr

    Neno "HAPA KAZI TU" Layeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

    Hapa tuu si ilikuwa kipindi anaingia madarakani awamu yake ya kwanza , km vile mzee JK alivyoanza na hali mpya nguvu kasi mpya akamaliza na maisha bora kwa kila mtanzania na JPM alikuwa anamaliza na Kazi iendelee ambayo Mama Samia anadumu nayo ss baada hapo nae atakuja na ya kwake nyingine...
  5. Haxxan Jr

    Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

    mimi kinacho nishangaza mbona watu wamefurahi sana jamaa kushuka nafasi ....
  6. Haxxan Jr

    Sasa nina hakika CHADEMA haitakufa tena kwa matakwa ya binadamu

    yule bwana Mbowe ndio anafanya Chadema iendelee kuwepo
  7. Haxxan Jr

    Paschal Mayalla leo anaponda utawala wa Hayati Magufuli

    " Mayalla kwa Lugha yetu ya kisukuma maana yake ni njaa " [emoji3][emoji3] Hapa ndio nilipomjua Mayalla
  8. Haxxan Jr

    Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

    Kinachonishangazi mbona watu wamefurahi sana.....kwani aliwakosea nini mpaka watu wafurahie kuporomoka kwake
  9. Haxxan Jr

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    UKISOMA KWA MAKINI ANDIKO LA NDUGU. JULIUS MTATIRO, LA ATCL NA HASARA YA TSHS. BILIONI 60, NA LILE LA THE SAD AND SHOCKING DAY FOR THE AVIATION; NACHOWEZA KUSEMA NI KUWA, WATANZANIA WOTE, TUSHIKAMANE KULIPIGANIA SHIRIKA LETU KWA NAMNA YOYOTE ILE, TUENDELEE MBELE. ————————— 01. ATCL NA HASARA YA...
  10. Haxxan Jr

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Shirika la ndege limeingizaje hasara ya pesa nyingi hivi ufafanuzi na nini kifanyike na je tulikosea wapi?
  11. Haxxan Jr

    Abandika kipande cha Almasi chenye thamani ya Bilioni 50 usoni

    Kimeathiri sana Afya yake anapata shida
Back
Top Bottom