KWA KILA JAMBO KUNA:-
a. Wakati wake
B. majira yake
c. sababu yake
D. makusudi yake
Tuache hivyo vitu nne VIAMUE.... kwa kuwa maneno ya Mwanadamu hayawezi kubadilisha Chochote isipokua hivyo vitu vinne.
Wanawake wengi wameathirika sana na kuiga.
a. Sidiria za kubana Matiti
B. nguo fupi
c. Kuvaa vikuku
D. Kope za bandia
e. Kuchonga nyusi
F. Kuongeza ukubwa wa makalio na matiti
g. Nywele nyekundu
h. Kutoga vitovu, sehemu za siri I. Cheni za viunoni
J. Uvutaji wa sigara na madawa.
Yote...
Ukibishana na mtu asiyejua Unaweza kujitafutia ugonjwa. DC - Kirefu Chake ni district Commissioner. Hilo neno KAMISHNA maana yake ni cheo kinachoteuliwa na Rais.
Si kila kitu Unaweza kukifanya ukiwa na cheo Chochote mahali popote na yeyote. kila Kazi Au cheo kina maadili na miiko yake...
Waungwana nisikilizeni niwasaidie mnielewe. Kila afanyacho mtu ni lazima kiwe na asili/chanzo na MAANA YAKE. Usivae tu vazi Au urembo flani eti kwa sababu umenuona mtu fulani kuvaa.
a. Cheni Au shanga kiunoni hapa kwetu imezoeleka kama ni urembo lakini nawaambieni ina uhusiano mkubwa sana na...
POLICE WENGI!!! Neno Wengi linaweza kumaanisha UKILINGANISHA na sasa. Ila nakuthibitishia kuwa kipindi cha Mwalimu Jwtz na police walijumuishwa katika TISS.ILA idadi iliyozidi ilikua ni JWTZ.
Hali hii haikuwafurahisha TISS wenyewe ambao kwa kipindi hicho walikua wachache, walipopata upenyo...
Ha ha ha
U komandoo na ulinzi Au upambe ni vitu viwili tofauti sana.Kumpangia Komandoo awe mlinzi wa Rais ni matumizi ya askari vibaya.
Mi nadhani tunahitaji kuwa na ufahamu wa haya mambo kwanza ili tuwe katika position ya kuweza kujadili vizuri.
Unamuweka Komando amlinde rais dhidi ya hatari...
Ukiangalia vizuri ni kama alichanganywa na yule jamaa mlinzi wa usalama wa taifa aliyembana zaidi upande wa kulia.Kimsingi jamaa alikosea sana kwani Wakati wa ukaguzi wa gwaride haruhusiwi mtu mwingine kupita mbele upande wa kulia,zaidi ya rais. baadae nadhani Afande Mwamunyange alimshtua Huyo...
Mh lukelo sakafu si kweli kwamba kila mlinzi lazima rais amfahamu. Kila askari(police,jwtz,prison), usalama wa taifa wanakula kiapo maalum cha utii kwa Rais na AMIRI JESHI MKUU.
Wanaaminika kwa viapo vyao.kufahamika si uhakika wa usalama wa mtu.
Kumbuka mtu aliyekaribu yako na anayekufaham kwa...
Wengi mnajitahidi sana kujieleza kwa kadri kila mtu anavyoelewa, japo wengine wanaongozwa na mitazamo yao binafsi na kisiasa.
A. Kiukweli walinzi wa Mh Rais wanatoka TISS. Mpambe ni mmoja tu pale yule aliuevaa nguo za kijeshi anayekaa/kusimama nyuma ya rais
B. Kamwe walinzi wa Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.