OK, hizo mbuga sio shida na wajenge. Cha muhimu ni kujua kuwa kila kitu kina mwisho wake. Hata mbuga kuna wakti utafika zitafifia au kutokuwa deal tena. Mipango mbadala muhimu.
Achana na London bibie, njoo hapa Boston, US tufanye stara Inshaallah. Kama utaona yafaa kuhama mji nakutaftia kazi nzuri kama au kuliko hiyo hapahapa Boston. Sifa nyengine zooote nnazo na bahati nzuri nami natamani kumpata wa nyumbani. NB: kabla ya hapo nilikuwa na mmorocco ambaye kwa bahati...
Kwa kifupi hii tume na bodi yake imeshikilia roho za graduates wetu wengi sana. Wakijielewa na kuachana na vikao ili ku focus kwenye matokeo, nchi inatoka very soon. Kilimo hakitakiwi kiwe cha kubahstisha hata kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.