Duuh!!pole sana,km kweli hupendi hii tabia ya kununua malaya basi Anza mwenyewe kuacha halafu ndo uende /kanisani/msikitini,Maana bila wewe mwenyewe kutia Nia ya kuacha ,hata uombewe vipi huwezi acha
Anza kuikataa hiyo hali mwenyewe utaweza tu nduguuuuu
Ukiona hivyo hao hawajatoka kwa ubavu wako,tulia subiri alietoka kwa ubavu wako
Ndani ya huu mfungo wako ,jitahidi kumshirikisha Allah!pia kwa hili.
Ramadhan qareem
Hivi nyie mnaokazana eti umri wake umeenda,acheni hizo bhana,miaka 43 mbona ni mkaka wa kawaida kabisa
Kweli wapinga Kristo hamtakaa muishe
Mwenzetu kaomba ushauri,badala mumpe majibu sahihi mmekazana alikuwa wapi?
Ukute hata nyie baba zenu wamewazaa wakiwa na miaka 60
Achani kuwa chanzo cha...
Nadhani wanaume wote wangetuelewa hivyo sidhani Kama kungekuwa na kucheat
Cha kuongezea ni kuwa Mwanamke usimzoeshe life style ambayo hautaweza kuimudu (sisi huwa tunatumia macho na masikio)kutumia akili tumewaachia nyie wanaume
Ndiyo maana mkapewa tahadhari kuwa muishi na sisi kwa Akili
Na...
Mbona bado kijana sana,tatizo siyo single mom au ambae hajazaa,tuliza akili,tafuta mwanamke atakae kupenda wewe Kama wewe,Kama una kipato fanya asijue km uko na maokoto
Mbona upendo wa dhati upo sana tu.
Kijijini kw mm naona utafanya kazi ya kuletea wenzio hao wanawake,maana wanazibukaga vibaya...
Ni kweli mitaji ni changamoto kubwa sana kwa tulio wengi,
Lakini hiyo siyo sababu yenye mashiko kwa mtu Anaetaka kuwa mjasiriamali(mfanya biashara)
Shida kubwa tulizo nayo Watanzania wengi ni uvivu wa kutumia hobi zetu, tunachokipenda ni kuangalia Fulani anafanya biashara fulani na inamuingizia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.