Recent content by Hatibu Mintanga

  1. H

    Kanisa lachomwa moto,nyamongo.tarime.

    na hao pia UAMSHO? au mtakubal kwamba wahun
  2. H

    William Ngeleja - Waziri Anayetuhumiwa kwa Wizi!

    fisadi papa huyooo..huyo si yupo kwenye chama chao cha CHAMA CHA MAFISA....DI
  3. H

    Prof Shivji Ametumwa na Wazanzibari?

    prof. issa chivji ametoa historia zote mbili bara na zanzbar inaonekana ww umefatilia mhadhara uliopita tu mfatilie utamwelewa...pia suala la udini zanzbar si sahihi kwa sbb makanisa yapo mda mrefu mbona hayajachomwa? mfano- sehem ya kihistoria jengo lililokua ni soko la watumwa enz hzo...
  4. H

    Maige amwita Nape 'Gamba', Nape amjibu...

    wanajopo niwaulize hivi wale twiga,faru,nyani,tembo alowapeleka nje washarud? akiongea kama msaaafi lkn mh!...ana nyumba thaman dola 700,000 mwenyewe anasema 400,000 ni vijisent au? aache hzo baada ya kuporwa ukubwa kila mtu anamuona mbaya dah kwel vx,gx na lexus zmemchengua..
  5. H

    Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

    Wadau Prezida wetu ana mazur meng sana 1-Anasafir sn kwenda nje kutuombea misaada ya maendeleo haijalish kama tanzania kuna madin, maliasili,uvuvi,ufugaj wacha tuwaombe wazungu coz wametutangulia kwenye maendeleo.. 2-Ana huruma sana ndo mana kila msiba anaenda mf:kafa rais wa malawi ,msanii...
  6. H

    Tafadhali isomwe na wanaume tu - inawahusu zaidi

    kama wanatuona wanaume atm si wanataka usawa au usawa kwao tu? na watupe au kama vp tufanye maandano kupinga kufanywa invoice kufaid tunafaid wote hela ntoe mimi huo si unyanyasaji? watu wa haki za binadamu mpo?
  7. H

    Kushindwa kwa sera za CCM ndio chanzo cha umaskini wa Watanzania!

    ni kwel kabisa uongoz umekua sio wa kuwatumikia watu bali kuogopwa na kuheshimiwa,.meya wa jiji la LONDON,Uk anatembea na baiskeli mpaka ofisin,..Chanselor wa ujeruman alikuwa anatumia volkswagen juz juz tu ndo kanunua gar mpya na sio ya garama kama za mawazir,wakurugenz n.k...Hivi hushangai enz...
Back
Top Bottom