Recent content by hatanasio

  1. H

    Faida ya kuzungukwa na watu wenye akili

    Halafu Unaenda kusaini Mkataba wa ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Kenya kwenda Tanzania bila ya kuwa na Mwanasheria yoyote hiyo yote mnaona ni sawa kweli kama unataka uwazi ufanye kwa yote
  2. H

    Faida za kiuchumi za Uwanja wa Ndege Chato

    Rubbish hujui chochote kaa kimya unajua huko kuna wanayama miaka mingi sana, humu so mahala kwenu nenda JF ya wajimga wenzio huko
  3. H

    Wanaharakati wa Kenya wamsihi Rais Suluhu kuwaachia huru Wanaharakati, Waandishi wa habari na Wafungwa wa Kisiasa Nchini Tanzania

    Unaushahidi wowote unaijua Kenya au unaisikia tu naomba siku moja fika nadhani haya unayoandika hutarudia tena, hakuna watu wa hovyo kama hawa.
  4. H

    Chambilecho Fidel Castro, "Mhukumuni Bashiru, historia itamwachia huru."

    Kwa nini usihame wewe unayeona bashiru mbaya , achane majungu yenu ya CHADEMA nyie
  5. H

    Mtu kama Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

    Ufisadi unarudi kwa kasi kila sehemu hapa Tanzania , ujambazi pia yaani inasikitisha ni matukio kila kukicha:- - Green miles wamerudi tena kujitwalia vitalu vya uwindaji Majambazi nao wanarudi kwa kasi wafanyabiashara kodi hawatoi risiti -Makampuni ya mafuta hayaweki vinasaba kukwepa kodi
  6. H

    Zitto Kabwe: Watu wameumizwa sana na ‘Wazalendo’, Nataraji CAG atafanya Ukaguzi Maalumu kwenye Mradi wa Bandari ya Tanga

    Zito haaminiki kabisa anatoa taarifa za uzushi hata aliweza kuisaliti CHADEMA wakamtimua kwa usakatonge.
  7. H

    Ukiondoa tabia ya kuwarubuni wabunge wa CHADEMA wahamie CCM, Dkt. Bashiru ni kiongozi makini na mjamaa

    Nilishawahi kusema mtu kama Nyerere, JPM, na hata hawa akina Bashiru dunia ya leo si sehemu salama kwao kuishi. Ni sawa ilivyo bahari huwa si sehemu ya kukaa uchafu na badala yake itautema tu. Sasa hawa wema pia dunia si sehemu salama kwao, naturally itakutema tu. Dunia ni sehemu ya maovu na...
  8. H

    Ukiondoa hasara ya shirika la Ndege ATCL, ni wapi tena penye ufisadi wa serikali ya awamu ya tano?

    Anayeiba anaweza akafanya yote hayo aliyofanya magu kwa muda mfupi ? Basi na aheri kuwa na mwizi anayeifanyia nchi maendeleo kuliko mwizi asiyeifanyia nchi maendeleo , nadhani wewe haupo Tanzania ndio maana unaongea haya , zunguka Tanzamia nzima nadhani hautarudia tena kuogea hizi pumba zako.
  9. H

    Bunduki ni zaidi ya Corona Marekani

    Usiongee usilolijua au usilonauhakika nalo nikikuambia uthibitishe hilo unaweza toa ushahidi , na hapa unajidai umejificha kumbe si lolote.
  10. H

    Ni muda muafaka sasa Rais Samia kuanza safari za Ulaya na Marekani

    Umeandika vitu gani UBELEJI ndio lugha gani, mnakuja huku sio kwenu.
  11. H

    Ni muda muafaka sasa Rais Samia kuanza safari za Ulaya na Marekani

    Hatupo tayari kuuza uhuru etu kwa misaada chapa kazi kijana hakuna maisha rahisi.
  12. H

    Kwa muda mfupi sana kiongozi wa Tanzania alipata maadui wengi sana

    Wewe usiwafanye watu wajinga Chama cha wafanyakazi kinauhusiano gani na siasa acha uujinga peleka huko kwa wenzio hukumu ndani sio size yako, unatengeneza maneno huenda hata elimu huna nenda kalime na upambane na maisha yako.
  13. H

    Amnesty International wanajaribu kuishinikiza Tanzania kununua chanjo ya Covid-19

    Soma hii upate ufahamu itakusaidia sana Was Tanzania vindicated on Covid testing claims?
  14. H

    Amnesty International wanajaribu kuishinikiza Tanzania kununua chanjo ya Covid-19

    Kipimo cha CORONA chenyewe ni fake na mpaka sasa kesi imefunguliwa na Marekani na Germany kuwa kipimo ni fake sasa na dawa zitolewazo pia hazina uhakika maana waliochanjwa wanaganda damu , please watuache tuishi vyovyote kabisa
  15. H

    Rais Samia, kuna Fursa ipo kwetu kwenye Uchumi wa Gesi, ichangamkie haraka

    Kumbukeni hapo nyuma Zanziba nayo ilisema suala la mafuta na rasilimali zitolewe kwenye Muungano ambapo ilionekana pia ni ubinafsi uliopitiliza na vyote vikatolewa sasa kweli yatafanyika katika kipindi hiki?
Back
Top Bottom