Recent content by hassaniMo

  1. H

    Tanapa kulikoni!!!

    Hawa jamaa bado hawajatoa shortlist au ndo ile ONLY SUCCESSIFUL CANDIDATE WILL BE CONTACTED.
  2. H

    Tanapa

    nimezipata za chini ya carpet kwamba interview ni 25/2/2012. Jiandae kwa lolote ndg.
  3. H

    Tanapa

    Tuwe na subira wandugu, me nilienda tanapa last j'mosi kuulizia mchako mzima wakaniambia bado na waliongeza mda wa kupokea appl. na deadline ndo ilikuwa cku hiyo j'mosi.
  4. H

    feedback za nelson mandela

    jamani wadau wenye tetesi zozote za nelson mandela atujuze. Wameshaita?
  5. H

    msaada

    nina memory card nimeweka miziki mingi tu kama zaidi ya mia lakini kila nikiplay mziki wowote unaimba mziki aina moja. Nini solution yake? Au ni virus!
  6. H

    Msaada jamani

    jaribu kucheki kwenye almanac ya chuo husika online.
Back
Top Bottom