Msaada jamani

tata mvoni

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
534
81
habari zenu! Naomba yeyote anayejua first year kwa mwaka huu wataanza chuo mwezi wa ngapi anijulishe.AHSANTENI
 
Watu kwa kudakia mada! Mleta mada kauliza first year chuo wanaanza lini! Mtu unaanza kutoa ratiba ya vyuo:ud,mzumbe,saut, sua! Kwani hivyo ndivyo vyuo pekee nchini? Na kwanini mmefocus level ya degree?
Kumbukeni kuna vyuo kibao vya certificates, diploma, ufundi n.k!
Tuwe great thinkerz, tusiwe tunakurupuka
 
Watu kwa kudakia mada! Mleta mada kauliza first year chuo wanaanza lini! Mtu unaanza kutoa ratiba ya vyuo:ud,mzumbe,saut, sua! Kwani hivyo ndivyo vyuo pekee nchini? Na kwanini mmefocus level ya degree?
Kumbukeni kuna vyuo kibao vya certificates, diploma, ufundi n.k!
Tuwe great thinkerz, tusiwe tunakurupuka

Kweli kabisa. Mfano karibu na ikulu una chuo ma secretary
 
Kweli kabisa. Mfano karibu na ikulu una chuo ma secretary
Dah! Kama vile ulikuwa kwenye mind yangu! Hiki ndicho chuo kilichonijia haraka haraka, nikajiuliza mbona wachangiaji hawajagusia timetable za chuo cha aina hii?
 
Vyuo gani vya ho el management and tourism vile vya kariakoo na magomeni au?
 
Rejao na Zing

Nimeshindwa kuwaelewa vizuri, from what i know kwa ivi vyuo vinavyotoa certificates/diploma/ftc kwa wale wanomaliza 4 wakapangiwa kama dit, mtc, maji nk huwa wanaanza july, hivi vyuo vingine vya ma secretary nk.nk huwawanadahili hata mara 3 kwa mwaka tofauti na vyuo vikuu ambavyo udahili wake ni mara 1 tu kwa mwaka.

Mchango wangu hapo juu no. 4 umeegemea vyuo vikuu kwasababu ndio ambavyo mpaka sasa muda haujawekwa wazi.
 
Muanzisha thread hajaspecify ni vyuo gani,ndo mana kila m2 amemjbu kwa jinc anavojua 2!
 
Back
Top Bottom