Hata ukiingia Dar kama unashuka kituo cha njiani kabla kufika stendi utashushwa tu. Hivyo sehemu zote ambaxo basi litapita kwenye vituo vya kushukia na kupandia daladala, abiria atashushwa tu
Mwisho wake siuoni kwa hizi siasa za kila mmoja anataka aonekane anafanya jambo zuri, akifanya mwenzake hata kama ni zuri atapinga na kuongea kupotosha kisa tu sifa zitakuwa za yule si zake. Akija kushika yeye madaraka kizuri alichoanzisha mwenzake, atakiacha au kukisiliba matope aje kuanzisha...
Halikufeli ila wataalamu wa mipango jiji hawaheshimiwi. Kumbuka karakana ya Meendokasi jangwani, yule mama alikataa isijengwe na yeye ndiye mtaalamu. Ila wakajenga kwa utashi wao.
Unadhani hii miradi mingine hadi hivi vituo ndiyo watashindwa kumpuuza
Wenye mabasi wabadilishe vibali na kuandika destination yao ni Mkuranga toka wanapotoka. Iwe Tanga- Mkuranga, Arusha- Mkuranga na kwingine. Yawe yanapita hapo Mbezi na abiria wengine kuelekea huko. Sababu destination si Dar hakuna ambaye atalazimisha washukie stendi fulani kwa pamoja. Likitoka...
Freeman mwenyewe si wa kuaminika ma hsta huyo Mbatia ni haohao tu. Siasa imejaa mapandikizi wengi sana wanaojifanya hawao upande wa serikali kumbe ni drama
Na yule ni polisi sidhani hata kama kazi yenyewe kaacha, kwani kuna polisi ambao hawana sare wala kituo wanafanya kazi taasisi zingine. Hao mtakuja kujua ni mwenzao labda akifariki na wenzao kuja kutangaza msiba wake na hadi namba yake ya kazi
Mvinyo wa zabibu na zabibu wanalima kule, mafunzo ya kutengeneza huo mvinyo wanayapatia Sido na hata ghsrama ya mafunzo si kubwa sidhani hata laki kama inafika
Usishangae kuona hivyo na si fake mara nyingi ni ya zabibu original. Wajasiriamali wamefunzwa namna ya kutengeneza na namna ya kufunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.