Recent content by Hassan Mambosasa

  1. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo mkeo ni baby mama wa mwanaume mwingine?

    Ume over react, mtoa mada hapo kafikisha ujumbe na pia kutumia lugha ya kimsiahara na utani ndani yake kupunguza ukali wa kile anachokizungumza
  2. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😂Kuna watu watapiga kweli wamchombeze na mwisho waende kupakwa mafuta na njembe yake
  3. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Mabasi yote yaende Stendi ya Magufuli, kama huwezi ondoka Dar Es Salaam hupawezi

    Hata ukiingia Dar kama unashuka kituo cha njiani kabla kufika stendi utashushwa tu. Hivyo sehemu zote ambaxo basi litapita kwenye vituo vya kushukia na kupandia daladala, abiria atashushwa tu
  4. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Sakata la mabasi na malori bado bichi.. Halihitaji maamuzi ya zimamoto

    Mwisho wake siuoni kwa hizi siasa za kila mmoja anataka aonekane anafanya jambo zuri, akifanya mwenzake hata kama ni zuri atapinga na kuongea kupotosha kisa tu sifa zitakuwa za yule si zake. Akija kushika yeye madaraka kizuri alichoanzisha mwenzake, atakiacha au kukisiliba matope aje kuanzisha...
  5. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Sakata la mabasi na malori bado bichi.. Halihitaji maamuzi ya zimamoto

    Yaani mtu anaajiri wataalamu na bado anazuia wasifaye kazi yao kwa kujiamulia mambo. Halafu lawama wanakuja kupewa wataalamu husika
  6. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Sakata la mabasi na malori bado bichi.. Halihitaji maamuzi ya zimamoto

    Halikufeli ila wataalamu wa mipango jiji hawaheshimiwi. Kumbuka karakana ya Meendokasi jangwani, yule mama alikataa isijengwe na yeye ndiye mtaalamu. Ila wakajenga kwa utashi wao. Unadhani hii miradi mingine hadi hivi vituo ndiyo watashindwa kumpuuza
  7. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Mabasi yote yaende Stendi ya Magufuli, kama huwezi ondoka Dar Es Salaam hupawezi

    Wenye mabasi wabadilishe vibali na kuandika destination yao ni Mkuranga toka wanapotoka. Iwe Tanga- Mkuranga, Arusha- Mkuranga na kwingine. Yawe yanapita hapo Mbezi na abiria wengine kuelekea huko. Sababu destination si Dar hakuna ambaye atalazimisha washukie stendi fulani kwa pamoja. Likitoka...
  8. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna mdudu msumbufu kama KUNGUNI?

    Kwenye Safina kuna baadhi ya viumbe waliachwa na Nabii Nuhu, ila akambeba kunguni ndani
  9. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    Freeman mwenyewe si wa kuaminika ma hsta huyo Mbatia ni haohao tu. Siasa imejaa mapandikizi wengi sana wanaojifanya hawao upande wa serikali kumbe ni drama
  10. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    Na yule ni polisi sidhani hata kama kazi yenyewe kaacha, kwani kuna polisi ambao hawana sare wala kituo wanafanya kazi taasisi zingine. Hao mtakuja kujua ni mwenzao labda akifariki na wenzao kuja kutangaza msiba wake na hadi namba yake ya kazi
  11. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuona wine ya 1000? Njoo Dodoma

    Wanafikiri kutengeneza huo ni kama kuunda bomu inahitaji wataalamu wa hali ya juu. Kumbe kozo fupi Sido inatosha
  12. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuona wine ya 1000? Njoo Dodoma

    Mvinyo wa zabibu na zabibu wanalima kule, mafunzo ya kutengeneza huo mvinyo wanayapatia Sido na hata ghsrama ya mafunzo si kubwa sidhani hata laki kama inafika Usishangae kuona hivyo na si fake mara nyingi ni ya zabibu original. Wajasiriamali wamefunzwa namna ya kutengeneza na namna ya kufunga...
  13. Hassan Mambosasa

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO, zipi faida za kuwa na bwawa kubwa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) ikiwa Unit 1 ya Umeme wateja wa T1 tunatozwa Sh 292?

    Sasa wakipange hela ndogo hata kama gharama ni ndogo za uendeshaji. Unategemea hayo mapato makubwa yanayotafutwa kinguvu yatoke wapj
Back
Top Bottom