kwenye money paper ya Tz huwa naona saini ya waziri wa fedha pamoja na ya governer. Hivi huyo governer ndo nani na ana mchango gani katika pesa yetu. pia unasomea nini ili uje kuwa governer?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.