Recent content by Hashpower7113

  1. Hashpower7113

    Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

    Hana ubavu wa kumgomea Amiri Jeshi Mkuu, nadhani kuna mengi yamejificha sirini
  2. Hashpower7113

    Somo la meditation: utajuaje kama unafanya kwa sahihi?

    Ukweli huwa haubishaniwi mkuu! 😅
  3. Hashpower7113

    Je, wajua; Tarehe ya leo (22/2/22) inaweza kusomeka kwa kwenda mbele au kurudi nyuma bila kupoteza maana

    Leo ni Februari 22, 2022, tarehe ambayo pia unaweza kuiandika 22022022. Sasa maajabu ya tarehe hii ni kwamba, unaweza kuisoma kuanzia nyuma kwenda mbele na ikabaki na maana ileile, kwa Kiingereza inaitwa Palindrome Date. Si hivyo tu, bali tarehe ya leo, pia inaweza kusomeka vilevile endapo...
  4. Hashpower7113

    Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

    Kwa hulka yake, hawezi kuresign! Kama aliweza kumtandika rungu la kichwa hadharani mwenzake kwenye uchaguzi, hawezi ku-do the needful! he is here to stay otherwise wamng'oe!
  5. Hashpower7113

    DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

    Mabeberu hawana msaada wowote? Are you serious mkuu? Mabeberu hawakwepeki, ukiwakwepwa kwenye mipira ya kiume utakutana nao kwenye vidonge vya ARV! Tukubali kwamba walishatuzidi mbali sana, hatuwezi kushindana nao wakati tunawategemea kwa almost kila kitu!
  6. Hashpower7113

    DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

    Baada ya kutusumbua kwa miaka 5 kwa kesi ya uongo ya uchochezi, DPP ameifuta kesi hiyo. Lakini bado kuna kesi nyingine 5 za uongo dhidi yangu & mamia nyingine dhidi ya viongozi, wanachama & Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe. Zote hizo zinatakiwa kufutwa bila masharti yoyote- Tundu Lissu After five...
  7. Hashpower7113

    DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

    Bila shaka wanasheria watakuja kutudadavulia, ninachoelewa ni kwamba zipo sababu nyingi zinazoweza kumfanya DPP kuamua kufuta kesi ikiwa ni pamoja na ushahidi uliopo, akiona hii kesi serikali itashindwa mahakamani. Busara ni kuifuta ili kupunguza idadi ya kesi serikali inazoshindwa ambayo...
  8. Hashpower7113

    DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

    Hii nadhani umekosea mkuu, ilipaswa kuwa uzi unaojitegemea kwa sababu hauhusiano na chochote kilichoandikwa hapa!
  9. Hashpower7113

    DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

    Kuna nyingine ya kumkashifu mwendazake kama sikosei! Alikuwa na kesi mbili
  10. Hashpower7113

    DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

    Criminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru. Mbali na Lissu washtakiwa wengine walikuwa ni Mhariri wa Gazeti la...
  11. Hashpower7113

    Walichokifanya Mwananchi kuweka picha ya Jaji ni sawa au ni makosa?

    Kiukweli sijui ni sheria ipi hasa au kama ni kanuni gani ndiyo maana nikaomba kueleweshwa kwa kina zaidi Mkuu!
Back
Top Bottom