Acha roho mbaya na chukiNaona leo lisu meno njenje baada ya ofisi ya DPP kufuta kesi yake na mwenzane wa gazeti la mawio Jabri Idrisa
Sasa lisu yuko huru kuna nchi imetoa msamaha hadi kwa wazandiki kama lisu
USSRView attachment 1948188
Acha roho mbaya na chukiNaona leo lisu meno njenje baada ya ofisi ya DPP kufuta kesi yake na mwenzane wa gazeti la mawio Jabri Idrisa
Sasa lisu yuko huru kuna nchi imetoa msamaha hadi kwa wazandiki kama lisu
USSRView attachment 1948188
Msamahe mkuu CCM akili nyingi zipo tumboni badala ya kichwaAcha roho mbaya na chuki
TUKUKUMBUSHE INCASE umesahau au kwa kuwa tu umeamua kujitoa ufahamu wako, kwamba;Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
Viashiria vya ubambikiaji vimejionyeshaSwali la msingi
Kwanini jamhuri haina nia?
Ni uhuni tu wa mahakama za ccmViashiria vya ubambikiaji vimejionyesha
Mabeberu hawana msaada wowote? Are you serious mkuu? Mabeberu hawakwepeki, ukiwakwepwa kwenye mipira ya kiume utakutana nao kwenye vidonge vya ARV! Tukubali kwamba walishatuzidi mbali sana, hatuwezi kushindana nao wakati tunawategemea kwa almost kila kitu!Post of the week, nakubaliana na wewe 100% umenena vema
Mifano ya huko waachie wenyewe.Post of the week, nakubaliana na wewe 100% umenena vema
Hakuna cha utu,ilifikiaje hapo kama utu upo na ulikuwepo?Huu utu uko Tanzania tu,
Yuko mbinguni anaongoza malaikaKweli mambo yamebadilika. Ila JPM atakuwa anateseka sana huko kaburini.
Hivi kesi ya Amsterdam ICC iliishia wapi?Sikuwa naona ni kwa jinsi gani serikali ingeweza ku-sustain kwa muda mrefu kupitia haya makesi-Amsterdam atawaharibia image sana kama alivyofanya last year kupitia haya makesi ya ajabu ajabu
Mimi nimemshangaa huyu P. Anapenda sana kujipendekezaTundu lisu amshukuru mama samia kwa lipi?
Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
Yaani mtu anakuibia, halafu anakurudishia kisha una mshukuru!Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
Huyu ana kesi kama zote,akirudi atamfuata Mbowe seloNi jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
Mkuu mimi nikikuibia kisha nikakurudishia nilichokuibia; je utanishukuru?Tundu Lissu ameniudhi sana.
Yaani serikali inaonesha uungwana kwa kufuta kesi,yeye badala hata ashukuru kwa hilo,ana tweet na kuiamrisha serikali ifute na kesi nyingine.
Hivi ukiandika kiungwana na kuomba utakuwaje?Mbona mnakuwa na ujeuri wa kishamba sana!
Chezea kulishwa bure,atadai mama ni hatari kuliko Mwendazake.Ni jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
Amsterdam alimuharibia sana Lisu kwenye uchaguzi mkuuSikuwa naona ni kwa jinsi gani serikali ingeweza ku-sustain kwa muda mrefu kupitia haya makesi-Amsterdam atawaharibia image sana kama alivyofanya last year kupitia haya makesi ya ajabu ajabu