Hahahhahahaa! My next president! Edward luwassa.
KWA NINI NAMPENDA:-
1. Mchapa kazi
.2.jasiri na hapendi mzaha kazini
.3. Hacheki ovyo kwenye maslahi ya taifa(mkali)
.4.anahuruma kwa wananchi
MIFANO mizuri ya miradi aliyosimamia mpaka Leo tunajidai ni ule wa MAJI TO ZIWA VICTORIA na...
Yes kaka kunawatu wajinga sana humu ndani cjui wanalipwa kwa kupost ujinga huu! Lazima wajue balozi anawakilisha nchi na sio chama. Tatazo wamekutana viongozi wa Magamba wengi wao wanatumia ubongo wa makalio
salaama mzee mbona unazungumza pumba! Kwenye mambo ya kimsingi na kisheria Indoa ugamba Wako hapa! Balozi wa china nchini anawakilisha wananchi wa china na si chama chake! So haruhusiwi kujihusisha na mambo ya kisiasa zaidi ya kiserikali! Kama CCM walitaka kupigwa jeki ilibidi Wawa alike...
Haya ------- mbona tuwaachia wanafanya mambo ya kisengex2,kwani wanatushindwa nini! Juz wamejeruhi makamanda MBALALI Leo wamekuja Arusha wanajiamini nini? Hawa jamaa ni MAGAIDI na CCM kinalea na kukuza magaidi nchini! Shame on them.
Duh huyu jamaa mwehu kwelikweli! Tumbo kubwa kama pipa! Anajua CDM inakuja kwa Kasi ya ajabu! Hoja yake haina kichwa wala miguu! Ndugu zangu songea msichague wabunge vilaza kama hao tena! Mda wote linawaza kulax2 na Ku...ya! Kifo cha CCM ndio kifo cha bend yake ya Taarabu.
Naomba aelewe tunatumiaPESA nyingi za walipa kodi kuuandaa katiba yetu! Hii ni safari ya kututoa kwenye umasikini uliopindukia kwenda kwenye kipato cha kati! Sasa wasitake katiba iandaliwe ili kushibisha MATUMBO Yao kwa miaka mitano ujayo! Naomba waelewe tunaandaa mwongozo unaweza kutufaa hata...
This is real politics! Asante Dr.Wenje kwa kuteka akili za vijana walioishia lasaba na kama walifika form 4 wanadivission zero! Chezea siasa za bongo ww
Kumanina Zao wamechokoza motto! Vijana WA CHADEMA! Tusikubali usengee huu! From nw onward popote mnapowaona hapa ------- WA Green guards na bodaboda zao ni kichapo Tu! CHADEMA 4 real
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.