Acheni ujinga huyu ni kibaka kabisa yaani mnasema Kamanda wenu? Muhuni tu kapigwa kitaa kwasababu ya wizi mnaipaka CCM matope. Swali Je Picha ya Lema ipo wapi hapo akimjulia Hali ? Mnafiki mkubwa wewe.....peleka utoto huu kwa watoto wenzako FB. Hapa tunataka facts na sio brabraa.