Tuanze kupata background ya Mulongo

Tuanze kupata background ya Mulongo

Bw. Mulongo ana shahada ya Biashara na Utawala ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kabla ya uteuzi huu alikuwa Meneja wa Kituo cha Biashara cha Mkoa wa Rukwa cha kampuni ya simu ya TTCL.

Aliwahi pia kuwa Mwalimu kwa muda katika Shule ya Sekondari ya Kibara na kufanya kazi kampuni ya simu ya Mobitel na kampuni ya vifaa vya ofisi ya Business Machine Ltd.

Kwa hiyo ni mmoja wa wauaji wa TTCL siyo ?
 
Hivi si ndiye yule aliyehusika katika ile kashfa ya kujenga choo bagamoyo kwa milioni miatisa akishirikiana na magamba wenzake???
 
Katika watu ambao hawana uwezo ya kuwa hata wa wakuu wa wilaya ni huyu jamaa.....he is not understanding of public policy.....he always wants to force and follows orders za kinana na usalama for his srlfish gains....to sum up...he is a politically incompetent and vey novice. ...hii yote ni kazi ya Luhanjo
 
Bw. Mulongo ana shahada ya Biashara na Utawala ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kabla ya uteuzi huu alikuwa Meneja wa Kituo cha Biashara cha Mkoa wa Rukwa cha kampuni ya simu ya TTCL.

Aliwahi pia kuwa Mwalimu kwa muda katika Shule ya Sekondari ya Kibara na kufanya kazi kampuni ya simu ya Mobitel na kampuni ya vifaa vya ofisi ya Business Machine Ltd.
Nimewahi kufanyakazi mobitel simkumbuki huyu bwana sijui labda ilikuwa mwaka gani
 
Katika watu ambao hawana uwezo ya kuwa hata wa wakuu wa wilaya ni huyu jamaa.....he is not understanding of public policy.....he always wants to force and follows orders za kinana na usalama for his srlfish gains....to sum up...he is a politically incompetent and vey novice. ...hii yote ni kazi ya Luhanjo
Si kosa la Luhanjo huyu ni mtu wa Wasira kabisa ingawa sijui mahusiano yao lakini ni musoma troup na kijana wake haswa
 
Ngoja tutamfanyia Local Science akome........naijua mwenyewe but kwa kuanzia nawezamfanyia ya kustopisha "Biology" yake isifanyekazi........halafu akiendeleza jeuri tunamwekea tego

utakuwa umeionea Chemistry ya mwenzake kwani hawato-combine ku form Physics!!
 
Nimegundua an tabia za Ki.ke kwani ni mtu wa Visasi Visasi tu,,,Hafai hata kuwa Baba wa Familia.

mpaka sasa anajuta kwa alichokifanya juu ya wananchi wa arusha na nina hakika lazima itamgharimu kwa namna yoyote ile,its just matter of time and lets keep on wait
 
Alikuwa anamwogesha mzee khalfani.
Kwani huyu mzee yuko kwenye kambi ya wazee kama kule ughaibuni ambako ukipata nafasi ya kuwaosha masaburi na miguu unajidai kwani una uhakika wa kurudi bongo na mkweche?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Let us be serious, kuwa na RC kama huyu ni mzigo kwa wana wa nchi na kama ni kweli ni zao la TISS. Basi ndugu zangu tunahitaji mabadiliko makubwa 2015. Hatuwezi kuendelea hivi tulivyo?.
 
sura yake tu inaonesha km vile ni mtoa kucha na meno aliebobea....but mwisho wake waja soon
 
Asome nyakati ! Nw tupo kwenye digital analeta mambo ya kise... ya analogy! Chondechonde mtutolee jembe letu LEMA!
 
Nimeanza kumjua juzi hapa Njombe mara tu DR SLAA alipokua anatusomea ile sms iliyotumwa kwa LEMA ("umeruka kiunzi cha kwanza.................takupa kesi ninayotaka mimi.),DR SLAA alitueleza briefly kua ni shemeji na KIKWETE,na naamini huyu RC ni Bogus kama ma-bogus wengine ndani ya CCM!
 
Katika profile yake siku akizima utasikia "marehemu aliwahi kuwa mwalimu na alipenda sana wanafunzi na vijana na alikuwa mstari wa mbele kusimamia haki zao".waswahili bhana!
 
Public profilebyake hai add up kiujumla hafahamiki na ndio maana wananchi wa Arusha wameshindwa kumfahamu
 
Si kosa la Luhanjo huyu ni mtu wa Wasira kabisa ingawa sijui mahusiano yao lakini ni musoma troup na kijana wake haswa
kama kuna mtu anamfahamu kuanzia wazazi wake ni watu wa aina gani,tabia zake toka utotoni,shule na chuo ni mtu wa aina gani. binafsi nilikutana nae arusha mwaka jana mwishoni,nilishindwa kuelewa mtu bogus vile kuwa mkuu wa mkoa kama arusha!
 
Back
Top Bottom