Something strange a bit, wakati we (walaji wa media deliveries) tuna pokea barua ya spika iliyopelekwa tume ya uchaguzi, Inayo muengua Joshua Nassar wa Arumeru Mashariki kutok katk nafasi yake ya Ubunge...
Tumeona pia barua aliyoiandika mnamo tarehe 29 Jan 2019 ililiyotumwa kwa mheshimiwa...
In education it depends on what you learn to practice when you practice.
Wish all the best all Form six students this year.. have good pass in their exams.
By Hascohamidu
" Kiukweli kizazi hiki kina mengi...tusipokuwa makini...watoto hawa na mitandao hii..itatufikisha pabaya.. wito wangu kwa wazazi wenzanguntuwe makini sana kiukwlei.
By Hascohamidu
"Kiukweli.. what is happening in this world sometimes some of the things are even outside the often amazings, I really becomes in puzzle when I everyday get the senseless staff about this superstars, Wema Sepetu in particular..anayoyafanya yote ni kwajili ya ku maintain kuandika kwenye media so...
Dear bandugu,
Ni muhimu sana kuzingatia na kufanya tathmini kubwa sana kabla ya kuingia katika mahusiano. I ssue sio kusema eti oh kupenda kupenda .. no thats not appropriate logic.. find out and make a thorough needs assessment before you take over.
By Hascohamidu
Ndugu zangu.
Unahitaji kulitafakari jambo lolote kwa kina kabla ya kuliendea. kwani kwakufanya hivi kunauwezekano mkubwa usije kujutia baadae. Ingawaje ziko sababu zinazo wezakujitokeza ukiwa on the way ukiwa tayari ukilifanyia kazi jambo hilo ambalo uliamua ukalitafakari na ukaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.