Recent content by hasason

  1. hasason

    Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

    Hakuna mgeni atapendelea brown bread unless awe na kisukari, ni mikate isio na ladha kabisa hata upake jam na peanut butter bado haina taste.
  2. hasason

    Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

    SAUT imehamishia wachaga wengi sana Mwanza luchelele, buhongwa, mkolani, nyegezi mmepateka
  3. hasason

    Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

    Royal oven ipo, cafeteria ipo
  4. hasason

    Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

    Mimi nimejua brown bread hapa hapa bongo tena nikiwa mdogo sana
  5. hasason

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Street Upgrading 🚜🚧
  6. hasason

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Biggest Park in Africa? Affordable housing Commercial areas $800+ million
  7. hasason

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Next Bakhressa? 🤔
  8. hasason

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    I 🎥 this 🔰 Dar CBD
  9. hasason

    Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

    Hii mbona kama promo, huu uzi umeletwa kimkakati mno ila sisi wenye PhD za Cambodia hutuambii kitu! Wewe na generation z
  10. hasason

    Najuta kuzaliwa Tanzania

    Una bahati Tanzania haina uraia pacha kwahiyo wewe unaukana tu uraia wa Tanzania unachukua uraia wa nchi yoyote unakua raia na unakoma kujitambulisha kwamba wewe ni mtanzania, Utajitambulisha tu una asili ya Tanzania na penyewe sio lazima sana, sasa kwanini ujute?
  11. hasason

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii ni west Africa sio Tanzania
  12. hasason

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwanini Kenya kila siku jengo linadondoka?
Back
Top Bottom