Jamani, naombeni msaada wakuu, ninayo software lakini sina namba yake ya siri. Kama kuna mtu anaweza nisaidia nitashukuru sana. Asanteni sana wana JF....
Kama kweli unahc lengo lako ni zuri, mjulishe mkeo nae umwambie amjulishe mumewe. Hapo mtajua kuwa mnalolifanya ni sawa au si sawa mbele za mwenyezi MUNGU. Hela zipo tuu kaka, utaziacha....
Duh, kaka kweli ulifaidi. Ila ujue "POMBE NI NOUMAA"....ULIJISAHAU KWA KUWA ULILEWA. SASA UNAWEZA MWELEZA RAFIKI YAKO STORY NZIMA ILI UNAWE MIKONO......POLE SANA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.